Freyzem
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 10,054
- 24,440
Nauliza katika mji ule uliokuwa chini ya himaya ya utawala ule, wengi waliishi kwa taabu na karaha huku wakingojea mkombozi!
Kweli hayawi hayawi akaja Bwana mfalme ambaye hakudhaniwa kabisa na wana wa mji ule na kusema atahakikisha anawakomboa wana wa mji ule hasa watoto wa maskini kwa kuhakikisha wanapata elimu na ya juu kabisa kwa kuwapa yale yawapasayo watoto wale wa maskini.
Ni takribani mwaka mmoja umeisha mfalme akiwa anafanya kazi yake katika mji ule, raia wake wengi wamekuwa wakijipa matumaini kwa yale anayoyafanya...
Wanajiuliza kweli kwamba huyu ndiye aliyekuwa akisubiriwa kuwakomboa..
Matarajio yao yamekuwa na sintofahamu nyingi!
Ewe mtukufu mfalme ni wewe uokoae kwa kutumbua majipu?
Naam yupo ajae kuokoa kwa maji na moto...
Kweli hayawi hayawi akaja Bwana mfalme ambaye hakudhaniwa kabisa na wana wa mji ule na kusema atahakikisha anawakomboa wana wa mji ule hasa watoto wa maskini kwa kuhakikisha wanapata elimu na ya juu kabisa kwa kuwapa yale yawapasayo watoto wale wa maskini.
Ni takribani mwaka mmoja umeisha mfalme akiwa anafanya kazi yake katika mji ule, raia wake wengi wamekuwa wakijipa matumaini kwa yale anayoyafanya...
Wanajiuliza kweli kwamba huyu ndiye aliyekuwa akisubiriwa kuwakomboa..
Matarajio yao yamekuwa na sintofahamu nyingi!
Ewe mtukufu mfalme ni wewe uokoae kwa kutumbua majipu?
Naam yupo ajae kuokoa kwa maji na moto...