Je, ni kweli CCM inaiba kura au ni visingizio vya upinzani?

Hziyech22

JF-Expert Member
Jun 8, 2019
13,576
18,894
Kwanza kabisa binafsi Sina mapenzi na chama chochote cha siasa Tanzania ila ni mpenzi wa siasa Safi.Tuje kwa hoja niliyouliza hapo juu Kama nikwel wapinzani wanaibiwa kura au Tume ya uchaguzi haitendi haki haya maswali nimejiuliza

Mbowe ameshindaje ubunge wa hai na pia chadema kachukua kata zote za hai mwaka 2015? Bulaya amemshindaje aliyekuwa waziri wa ofisi ya urais Wassira?Sugu kashinda ubunge kwa kura nyingi na tofauti yake na anayemfuata ni kubwa kupitia Tume hii.

Mwaka huo huo Chadema imepata halmashuri nyingi kulinganisha na miaka ya nyuma ikiwemo la jiji la dar kupitia Tume hii.Je Tume ya uchaguzi inakuwa huru pale chadema inaposhinda? Ila inaposhinda CCM wanasema inaiba au Tume
sio huru.

Ifike kipindi vyama vya upinzani vijikite kujiimarisha badala ya kueneza hii propaganda haitawasaidia Zaid itawapunguzia wapiga kura wao wakiendelea kuaminisha wapenzi wao hivyo watasusa kupiga kura.

Ingekuwa CCM inaiba kura sizani wangetumia hela nyingi kulipa wasanii kuwafanyia kampeni mfano Diamond pekee alilipwa mil 100 kwa kufanya show, kampeni pamoja na kushooting video ya kampeni ya wimbo wa number one,Kiba alilipwa mil 15, wema kalipwa mil 20 wengine sijui Bei zao bado sijamzungumzia gharama zingine walizoingia.
 
Walishinda kwa kura nyingi hadi ikashindikana kuchakachua hata 2020 kwenye ubunge na udiwani watashida ila hapo kwenye urais hilo walisahau kwenye fikra zao. innocent dependent,
 
innocent dependent,
Huwezi kuwa muumini wa siasa safi ukaishabikia ccm. Nimejua ww ni muhuni unayedhani hizi propaganda zako mfu zitatupoteza maboya. CCM kabla ya 2015 walikuwa wanaiba kura, ila sehemu ambazo wapiga kura waliamua kama mbaya acha iwe mbaya, ndio huko wapinzani walitangazwa.

Baada ya Magufuli kuingia madarakani, CCM hawaibi tena kura, bali wasimamizi wa tume ya uchaguzi wanatii maagizo yake kwa kumtangaza mgombea wa CCM, tena baada ya kufanyika ukatili na uhayawani wa wazi kwa wapinzani.

Lengo hasa ni kuhadaa umma kuwa CCM na Magufuli wanakubalika sana. Lakini ukweli uko wazi kuwa watu wengi hawamkubali Magufuli wala CCM, na kwakuwa tume sio huru, ndio maana unaona wapiga kura wamesusia kupiga kura.
 
Sasa hivi CCM hawaibi kura wamefika viwango vya juu vya kupora kura badala ya kuiba, na wapinzani walioshinda kwa wakati ule ni enzi zile ambazo CCM walikuwa bado hawajafika viwango vya juu vya uporaji walikuwa bado wako viwango vya chini vya wizi, na wapinzani walioshinda wakati huo walishinda kutokana na CCM kuzidiwa na nguvu ya umma, kwa sasa hivi CCM wako tayari kutoa roho za wananchi kwa mtutu wa bunduki kuhakikisha wanatwaa uwenyekiti wa kitongoji.
 
Kwanza kabisa binafsi Sina mapenzi na chama chochote Cha siasa Tanzania ila ni mpenzi wa siasa Safi.Tuje kwa hoja niliyouliza hapo juu Kama nikwel wapinzani wanaibiwa kura au Tume ya uchaguzi haitendi haki haya maswali nimejiuliza

Mbowe ameshindaje ubunge wa hai na pia chadema kachukua kata zote za hai mwaka 2015? Bulaya amemshindaje aliyekuwa waziri wa ofisi ya urais Wassira?Sugu kashinda ubunge kwa kura nyingi na tofauti yake na anayemfuata ni kubwa kupitia Tume hii.

Mwaka huo huo chadema imepata halmashuri nyingi kulinganisha na miaka ya nyuma ikiwemo la jiji la dar kupitia Tume hii.Je Tume ya uchaguzi inakuwa huru pale chadema inaposhinda?ila inaposhinda CCM wanasema inaiba au Tume
sio huru.

Ifike kipindi vyama vya upinzani vijikite kujiimarisha badala ya kueneza hii propaganda haitawasaidia Zaid itawapunguzia wapiga kura wao wakiendelea kuaminisha wapenzi wao hivyo watasusa kupiga kura.Ingekuwa CCM inaiba kura sizani wangetumia hela nyingi kulipa wasanii kuwafanyia kampeni mfano Diamond pekee alilipwa mil 100 kwa kufanya show, kampeni pamoja na kushooting video ya kampeni ya wimbo wa number one,Kiba alilipwa mil 15, wema kalipwa mil 20 wengine sijui Bei zao bado sijamzungumzia gharama zingine walizoingia.
1. Kwa upande wa upinzani watasema wanashinda kwa nguvu ya umma maana hakuna mpinzani amewahi tangazwa kirahisi rahisi bila mabomu kurushwa na vurugu kutoke rejea majimbo ya mwanza 2010, Mbagala 2015 zile vurumai.

2. Ushahidi wa kimazingira, ssa unakuta kura zimemaliza kuhesabiwa zinakaa hata siku 3 hatangazwi mshindi kma kule Kwera au Uvinza ssa hapo hawatoona kuna wizi?

Sheria ya uchaguzi inakataza wapinzani kupinga matokeo ya Urais je kma hawaibi si waruhusu ili walete ushahidi mahakamani??

Kama wapinzani wanadai kuibiwa si muwape tume huru ili waumbuke na propaganda ziishe?? Its very simple magufuli na wabunge wa CCM wanakubalika sana kama anavyodai polepole ssa ili kuprove kina mbowe na zitto wrong walete tume huru ili mjadala uishe ila kuzidi kuipinga ndio unaongeza ushahidi wa kimazingira kuwa CCM huiba kura.

3. CCM WANAIBAJE?
Mkuu ni hivi kama umesoma statistics kuna estimations zinatumia D'hondt methods of proportion yaani mgawanyo kulingana na wingi wa watu/kura ili uwiano uwepo kati ya wawakilishi na wapiga kura.

Na hapa CCM ndio huwa makini sana, Kwahiyo wanakuwa wameshaamua majimbo gani wayachukue na yapi wayaachie ili kubalance uwiano wa ushindi kujenga uhalali. Kwahiyo ukiona jimbo anatangazwa mpinzani ujue wamelicompensate na majimbo hata 10 ya vijijini. Maana wakichukua yote si itaonekana wazi kabisa zimeibwa so wanagive some and take some.

Ndio maana utaona majimbo ambayo upinzani hushinda ubunge kwa kura nyingi sana za urais huwa ni ndogo. Yaani Wabunge wanne wa chadema mbeya wanakura nyingi kuliko kura alizopata lowassa kwenye majimbo hayo!! Na hii ilitokea kwa Dr Slaa pia. Hii yote wahakikishe hata upinzani ukiwa na madiwani au wabunge wengi urais wasiukamate kabisa.

Case study jimbo la Bumbuli na Tunduma waliopiga kura za Urais ni mara mbili ya waliopiga kura za ubunge. Hiyo ndio CCM ni mwendo wa proportionate victory.
 
Kwanza kabisa binafsi Sina mapenzi na chama chochote Cha siasa Tanzania ila ni mpenzi wa siasa Safi.Tuje kwa hoja niliyouliza hapo juu Kama nikwel wapinzani wanaibiwa kura au Tume ya uchaguzi haitendi haki haya maswali nimejiuliza

Mbowe ameshindaje ubunge wa hai na pia chadema kachukua kata zote za hai mwaka 2015? Bulaya amemshindaje aliyekuwa waziri wa ofisi ya urais Wassira?Sugu kashinda ubunge kwa kura nyingi na tofauti yake na anayemfuata ni kubwa kupitia Tume hii.

Mwaka huo huo chadema imepata halmashuri nyingi kulinganisha na miaka ya nyuma ikiwemo la jiji la dar kupitia Tume hii.Je Tume ya uchaguzi inakuwa huru pale chadema inaposhinda?ila inaposhinda CCM wanasema inaiba au Tume
sio huru.

Ifike kipindi vyama vya upinzani vijikite kujiimarisha badala ya kueneza hii propaganda haitawasaidia Zaid itawapunguzia wapiga kura wao wakiendelea kuaminisha wapenzi wao hivyo watasusa kupiga kura.Ingekuwa CCM inaiba kura sizani wangetumia hela nyingi kulipa wasanii kuwafanyia kampeni mfano Diamond pekee alilipwa mil 100 kwa kufanya show, kampeni pamoja na kushooting video ya kampeni ya wimbo wa number one,Kiba alilipwa mil 15, wema kalipwa mil 20 wengine sijui Bei zao bado sijamzungumzia gharama zingine walizoingia.
Siasa safi ipo Tanzania!? Kama ipo..ipo kwa kiwango gani!?

Nadhani kuwepo au kutokuwepo kwa wizi wa kura unaanzia hapa....

CCM ya kina Chakubanga ni wezi wa kura....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
innocent dependent,
Huwezi kuwa muumini wa siasa safi ukaishabikia ccm. Nimejua ww ni muhuni unayedhani hizi propaganda zako mfu zitatupoteza maboya. CCM kabla ya 2015 walikuwa wanaiba kura, ila sehemu ambazo wapiga kura waliamua kama mbaya acha iwe mbaya, ndio huko wapinzani walitangazwa.

Baada ya Magufuli kuingia madarakani, CCM hawaibi tena kura, bali wasimamizi wa tume ya uchaguzi wanatii maagizo yake kwa kumtangaza mgombea wa CCM, tena baada ya kufanyika ukatili na uhayawani wa wazi kwa wapinzani.

Lengo hasa ni kuhadaa umma kuwa CCM na Magufuli wanakubalika sana. Lakini ukweli uko wazi kuwa watu wengi hawamkubali Magufuli wala CCM, na kwakuwa tume sio huru, ndio maana unaona wapiga kura wamesusia kupiga kura.
Huo ndio ukweli sitapoteza mda wangu kujiandikisha wala kupiga kula

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ccmpolice ni majambazi wa haki za binadamu ,majamgiri na wahaini wakubwa.
Mleta mada anayajua yote anataka kupima hasira za watu.
Kawambie ccm waruhusu Tume huru ya uchaguzi asubuhi tu ...


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza kabisa binafsi Sina mapenzi na chama chochote cha siasa Tanzania ila ni mpenzi wa siasa Safi.Tuje kwa hoja niliyouliza hapo juu Kama nikwel wapinzani wanaibiwa kura au Tume ya uchaguzi haitendi haki haya maswali nimejiuliza

Mbowe ameshindaje ubunge wa hai na pia chadema kachukua kata zote za hai mwaka 2015? Bulaya amemshindaje aliyekuwa waziri wa ofisi ya urais Wassira?Sugu kashinda ubunge kwa kura nyingi na tofauti yake na anayemfuata ni kubwa kupitia Tume hii.

Mwaka huo huo Chadema imepata halmashuri nyingi kulinganisha na miaka ya nyuma ikiwemo la jiji la dar kupitia Tume hii.Je Tume ya uchaguzi inakuwa huru pale chadema inaposhinda? Ila inaposhinda CCM wanasema inaiba au Tume
sio huru.

Ifike kipindi vyama vya upinzani vijikite kujiimarisha badala ya kueneza hii propaganda haitawasaidia Zaid itawapunguzia wapiga kura wao wakiendelea kuaminisha wapenzi wao hivyo watasusa kupiga kura.

Ingekuwa CCM inaiba kura sizani wangetumia hela nyingi kulipa wasanii kuwafanyia kampeni mfano Diamond pekee alilipwa mil 100 kwa kufanya show, kampeni pamoja na kushooting video ya kampeni ya wimbo wa number one,Kiba alilipwa mil 15, wema kalipwa mil 20 wengine sijui Bei zao bado sijamzungumzia gharama zingine walizoingia.
Kama haiibi kwanini aliyepata kura mil10 hakutangazwa mshindi ila akatangazwa aliyepata mil 3 unusu ? Halafu ukitaka kujua hili muulize Mwakyembe alipataje ubunge wa Kyela ?

Kingine ni hiki , muulize Mambosasa kisa cha polisi wake kumuua Akwilina na polisi kukimbia na masanduku ya kura Magomeni , ukielewa hapa uje uulize huu ujinga wako
 
1. Kwa upande wa upinzani watasema wanashinda kwa nguvu ya umma maana hakuna mpinzani amewahi tangazwa kirahisi rahisi bila mabomu kurushwa na vurugu kutoke rejea majimbo ya mwanza 2010, Mbagala 2015 zile vurumai.

2. Ushahidi wa kimazingira, ssa unakuta kura zimemaliza kuhesabiwa zinakaa hata siku 3 hatangazwi mshindi kma kule Kwera au Uvinza ssa hapo hawatoona kuna wizi?

Sheria ya uchaguzi inakataza wapinzani kupinga matokeo ya Urais je kma hawaibi si waruhusu ili walete ushahidi mahakamani??

Kama wapinzani wanadai kuibiwa si muwape tume huru ili waumbuke na propaganda ziishe?? Its very simple magufuli na wabunge wa CCM wanakubalika sana kama anavyodai polepole ssa ili kuprove kina mbowe na zitto wrong walete tume huru ili mjadala uishe ila kuzidi kuipinga ndio unaongeza ushahidi wa kimazingira kuwa CCM huiba kura.

3. CCM WANAIBAJE?
Mkuu ni hivi kama umesoma statistics kuna estimations zinatumia D'hondt methods of proportion yaani mgawanyo kulingana na wingi wa watu/kura ili uwiano uwepo kati ya wawakilishi na wapiga kura.

Na hapa CCM ndio huwa makini sana, Kwahiyo wanakuwa wameshaamua majimbo gani wayachukue na yapi wayaachie ili kubalance uwiano wa ushindi kujenga uhalali. Kwahiyo ukiona jimbo anatangazwa mpinzani ujue wamelicompensate na majimbo hata 10 ya vijijini. Maana wakichukua yote si itaonekana wazi kabisa zimeibwa so wanagive some and take some.

Ndio maana utaona majimbo ambayo upinzani hushinda ubunge kwa kura nyingi sana za urais huwa ni ndogo. Yaani Wabunge wanne wa chadema mbeya wanakura nyingi kuliko kura alizopata lowassa kwenye majimbo hayo!! Na hii ilitokea kwa Dr Slaa pia. Hii yote wahakikishe hata upinzani ukiwa na madiwani au wabunge wengi urais wasiukamate kabisa.

Case study jimbo la Bumbuli na Tunduma waliopiga kura za Urais ni mara mbili ya waliopiga kura za ubunge. Hiyo ndio CCM ni mwendo wa proportionate victory.

Mkuu nimependa uchambuzi wako, hawa jamaa wee acha tu.
 
Ccmpolice ni majambazi wa haki za binadamu ,majamgiri na wahaini wakubwa.
Mleta mada anayajua yote anataka kupima hasira za watu.
Kawambie ccm waruhusu Tume huru ya uchaguzi asubuhi tu ...


Sent using Jamii Forums mobile app

Hapa ndo tunapokosea, ukisubiri mshindani wako ndo akupe haki yako wewe ushashindwa tayari. Tume ya uchaguzi haiwezi kuja kama lulu kwenye sahani, lazima tu-sacrifice mambo fulani ili ionekane tuko serious. Mojawapo ni kugomea uchaguzi ujao bila kujali kupoteza ulaji wa ubunge na udiwani. Acha wabaki peke yao dunia ishuhudie. Vinginevyo tunacheza reggae, hatua moja mbele mbili nyuma
 
Kwanza kabisa binafsi Sina mapenzi na chama chochote cha siasa Tanzania ila ni mpenzi wa siasa Safi.Tuje kwa hoja niliyouliza hapo juu Kama nikwel wapinzani wanaibiwa kura au Tume ya uchaguzi haitendi haki haya maswali nimejiuliza

Mbowe ameshindaje ubunge wa hai na pia chadema kachukua kata zote za hai mwaka 2015? Bulaya amemshindaje aliyekuwa waziri wa ofisi ya urais Wassira?Sugu kashinda ubunge kwa kura nyingi na tofauti yake na anayemfuata ni kubwa kupitia Tume hii.

Mwaka huo huo Chadema imepata halmashuri nyingi kulinganisha na miaka ya nyuma ikiwemo la jiji la dar kupitia Tume hii.Je Tume ya uchaguzi inakuwa huru pale chadema inaposhinda? Ila inaposhinda CCM wanasema inaiba au Tume
sio huru.

Ifike kipindi vyama vya upinzani vijikite kujiimarisha badala ya kueneza hii propaganda haitawasaidia Zaid itawapunguzia wapiga kura wao wakiendelea kuaminisha wapenzi wao hivyo watasusa kupiga kura.

Ingekuwa CCM inaiba kura sizani wangetumia hela nyingi kulipa wasanii kuwafanyia kampeni mfano Diamond pekee alilipwa mil 100 kwa kufanya show, kampeni pamoja na kushooting video ya kampeni ya wimbo wa number one,Kiba alilipwa mil 15, wema kalipwa mil 20 wengine sijui Bei zao bado sijamzungumzia gharama zingine walizoingia.
CCM Zanzibar wameanza kuiba kura tangu enzi za chama kimoja.

Uchaguzi wa urais 1985 Idris Abdul Wakil alishindwa.

Yani zike kura za NDIYO/HAPANA, mtu anashindanishwa na kivuli, Wakil alishindwa.

Matokeo yaliketwa kwenye vyombo vya habari vya serikali, kama gazeti la Daily News.

Watu wakaambiwa wasichapishe matikeo, CCM ikabadili matokeo.

Kwa aibu, Wakil akaamua kutogonbea tena urais.

Nilikaa na balizi mmoja alikuwa katika usakama, akaniambia CCM imeiba sana kura chaguzi za Zanzibar

Huyu balozi ni kama mtoto wa Nyerere, na alikuwa hana sababu ya kuisingizia CCM uongo.

Kwa hiyo, CCM siyo tu inaiba kura sasa wakati wa vyama vingi.

Imeanza kuiba kura tangu enzi za chama kimoja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom