Je, ni kweli Binti wa Kagame ameanza kuandaliwa?

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Mar 8, 2020
2,204
4,692
Inasemekana ameanza kuandaliwa kutokana na halihalisi ya mwenye Mamlaka? Inasemekana ameongezewa hata Ulinzi pamoja na kuwepo mabadiliko mengine ya kiitifaki?

images%20(28).jpg
images%20(27).jpg
images%20(26).jpg
 
Tukubali ukweli kuwa Kagame ana akili nyingi Huyu Mtu

Kuitoa nchi Kutoka genocide hadi kuwa sawa na nchi kama Kenya,TZ Kwa kweli acha aongoze atakavyo

Rwanda ipo sawa naTz ama Kenya kivipi? Ghorofa chache unazoziona za picha za mitaa miwili ya Kigali zinakuchanganya. UDOM tu ni kubwa na ina expensive asset. kuliko asset za vyuo vyote Rwanda ukivichanganya pamoja.

Shirika moja la uma tz TPA lenye bandari ya Dar es Salaam tu inaingiza hela nyingi kwa mwaka kuliko mashirika ya uma yote ya Rwanda ukijumlisha hela zinazoingiza kwa mwaka.
 
Rwanda ipo sawa naTz ama Kenya kivipi? Ghorofa chache unazoziona za picha za mitaa miwili ya Kigali zinakuchanganya... UDOM tu ni kubwa na ina expensive asset. kuliko asset za vyuo vyote Rwanda ukivichanganya pamoja. Shirika moja la uma tz TPA lenye bandari ya Dar es salaam tu inaingiza hela nyingi kwa mwaka kuliko mashirika ya uma yote ya Rwanda ukijumlisha hela zinazoingiza kwa mwaka
Rwanda akiba yao ya fedha za kigeni ina"cover" miezi sita na sie pia akiba ya fedha za kigeni ina"cover" miezi sita

Kagame pia kaanzisha system ambayo wananchi wake kuna siku imetengwa wanashiriki kujenga majengo na miundombinu angalia sasa kuna nchi gani ipo na mambo kama hayo Afrika
 
Sa

sawa ka nchi kama mkoa wa Tabora?

Rwanda eneo haifiki hata nusu ya huo mkoa wa Tabora

Hapa duniani akili akili akili

Licha ya kuwa Rwanda haifiki japo asilimia nne ya eneo letu lakini GDP per Capita tunawiana

Ubelgiji ni ndogo kuliko mkoa wowote ule (except DSM&Kilimanjaro) ila kipato chake Afrika Mashariki yote hatugusi
 
Rwanda eneo haifiki hata nusu ya huo mkoa wa Tabora

Hapa duniani akili akili akili

Licha ya kuwa Rwanda haifiki japo asilimia nne ya eneo letu lakini GDP per Capita tunawiana

Ubelgiji ni ndogo kuliko mkoa wowote ule (except DSM&Kilimanjaro) ila kipato chake Afrika Mashariki yote hatugusi

Tabora mbali... mkoa wa Singida tu ni mkubwa mara mbili ya Rwanda
 
Kwa maisha gani ya Rwanda?nimefika Kigali life gumu salaries ndogo.Promo tu nyingi hakuna lolote

Salary kumuendeleza Mtu labda nchi zilizoendelea huko

Rwanda Kagame kaifanya hela ya Rwanda convertibility yake sawa na nchi kama Kenya, TZ huko ni Mtu kusaka hela tu hela inabadilishika na fedha za kigeni angalia Burundi, South Sudan etc
 
Back
Top Bottom