Je, ni kweli binadamu tunatumia asilimia 10 ya uwezo wa ubongo, na nini kitatokea kama tutatumia asilimia 100 ya uwezo huo?

Maisha tunayoishi kwa sasa ni man-made, hayana ubunifu wetu wenyewe. Akili zetu zimekuwa dormant zinategemea already made discoveries.

Wazungu pia ni wajanja sana, walituletea hii life mode ambayo inatufanya tusijishughulishe na gunduzi zetu bali tutegemee zao tuu.

Hii nadharia za 10% usage of brain sidhan km ni sahihi kwa sababu haiko specific ni ktk situation zipi mtu anakuwa katumia % kadhaa. Pia binadamu tumezaliwa na IQ tofauti tofauti kwa io wenye IQ kubwa lazima wawazidi wenye ndogo.
Nafikiri si kweli kwamba maisha tunayoishi ni dormant na kwamba ubunifu ndo umeisia hapo.....ugunduzi uliokwisha fanyika ni kianzio cha gunduzi nyingi zitakazoendelea kugunduliwa..na zinazoendelea kugunduliwa......jaribu kufikiria miaka 50 nyuma hali ilivyokua na mambo yalivyobadirika ndani ya huo muda
....ugunduzi hauna mwisho..na hapa ndo dhans kwamba binadamu tunatumia kiasi kidogo cha akili zetu....nafikiri miaka mia mbili mbele haya mambo yaliyopo sasa hivi yatakua yanaonekana primitive...
Kitu cha research gap

Sent using Jamii Forums mobile app
 
FB_IMG_15496667875296560.jpg


Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
 
Umeanza lini kuwa mvivu

Sent using Jamii Forums mobile app
Uvivu ni nature ya mwili wa binaadamu... Hakuna mwili unaopenda karaha..kila mwili unapenda ukae umestarehe muda wote so ww mwenye mwili usipokontroo mwili basii u a lost!!
So kuandika unajua kunachosha hehe.. ila ukiniukiza ww sasa ivi nakujibu

Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
 
Tuko pamoja. Ukipata wasaa utanijibu.

Nipo ....

What’s the invisible that’s creat what’s the visible.Kipimo cha akili ni matokea ambayo ni physically.Kipimo cha akili ni matokeo tunayoyaona baada ya kuleta effects fluni katika mazingira.
Akili ni ule uwezo wa kutambua/kuchambua/kutafusri taarifa kwa usahihi na wakati sahihi ili ziweze kuleta impact katika mazingira alisia


iPhone 7plus
 
Hapa kuna vitu viwili tunavichanganya. Ubongo kufanya kazi na kuutumia ubongo kufikiri.

Ubongo unafanya kazi 100% kinyume cha hapo hitilafu itajitokeza kwa mhusika.

Hizo asilimia nafikiri zipo hapo kwenye matumizi ya ubongo kwenye kufikiria.
Tatizo hilo hilo moja linalofanana linaweza kuwapata watu tofauti kila mmoja akaja na utatuzi tofauti kabisa.

Nafikiri msisitizo uwe ni namna ya kuboresha kuutumia ubongo au kufikiria ipasavyo. Ndio maana Ford alisema kufikiria ni kazi ngumu sana na wengi hawapendi kuifanya au kujihusisha nayo.
 
Labda baadhi hamjaelewa uzi unazungumzia 10% ya ubongo katika nyanja gani. Au mimi ndo nitakuwa sijaelewa.

My take ni kwamba katika ubongo kuna part mbili kuu ambazo zinafanya kazi. Moja ni ile ambayo inajitawala yenyewe kwa maana ya kusimamia body systems ambazo huwezi kuzicontrol yan matendo yasiyo ya hiari. Part ya pili ambayo kwa mtazamo wangu ndo haswa inayozungumziwa ni ile inayohusisha matendo ya hiyari kama kujifunza, kusoma, kutunza kumbukumbu na kufanya mambo kwa ajili ya maendeleo binafsi na jamii.

Kwa mtazamo wangu 10% ya matumizi ya ubongo inayozungumziwa ni hii ya ubunifu na maendeleo. Kiuhalisia inaweza kuwa kweli kwa maana ya maendeleo ya kisayansi kuwa huenda hatujavuka hiyo 10% ya kutumia bongo zetu. Kuna mambo mengi yanajificha kwenye movie ya Lucy na pia movie nyingine zinazoonesha watu wenye uwezo wa juu sana wa akili. Sometime tunaweza kudhani ni movie tu kumbe kuna vitu vya kuzingatia na kujifunza.
 
Maisha tunayoishi kwa sasa ni man-made, hayana ubunifu wetu wenyewe. Akili zetu zimekuwa dormant zinategemea already made discoveries.

Wazungu pia ni wajanja sana, walituletea hii life mode ambayo inatufanya tusijishughulishe na gunduzi zetu bali tutegemee zao tuu.

Hii nadharia za 10% usage of brain sidhan km ni sahihi kwa sababu haiko specific ni ktk situation zipi mtu anakuwa katumia % kadhaa. Pia binadamu tumezaliwa na IQ tofauti tofauti kwa io wenye IQ kubwa lazima wawazidi wenye ndogo.
Simple - short and clear ---
Nafikiri wewe unafaa kuwafundisha watanzania kwa sababu hawako tayari kusoma maelezo mengi.
 
Maisha tunayoishi kwa sasa ni man-made, hayana ubunifu wetu wenyewe. Akili zetu zimekuwa dormant zinategemea already made discoveries.

Wazungu pia ni wajanja sana, walituletea hii life mode ambayo inatufanya tusijishughulishe na gunduzi zetu bali tutegemee zao tuu.

Hii nadharia za 10% usage of brain sidhan km ni sahihi kwa sababu haiko specific ni ktk situation zipi mtu anakuwa katumia % kadhaa. Pia binadamu tumezaliwa na IQ tofauti tofauti kwa io wenye IQ kubwa lazima wawazidi wenye ndogo.
Hatuna haja ya kusema wazungu wametuletea teknolojia yao ili watu undermine maana hio kitu iko dunia nzima mpaka kwao
 
Hio sio kweli.
Binadamu tunatumia 100% ya ubongo wetu.
The moment utakapotumia hata 90% inamaanisha umekufa. Kwa sababu kila part ya brain iko specialized kufanya kazi flani ndio maana mtu anakuwa hai kwahio brain yote inapiga kwazi wa ukamilifu wake..

Lets say asilimia 10 za brain ziache kufanya kazi kama ndani ya hizo 10% kuna center inayohusikika na upumuaji basi mtu ataacha kupumua na kufa..



Sent using Jamii Forums mobile app
Haha....naomba nikusahihishe kwa uelewa wangu...Kila sehemu ya ubongo ina kazi yake..na kuna mambo ambayo ni ya asili ambayo yapo ambayo wewe huna namna ya kuyacontrol mfano kupumua, kusinzia etc..
Mtoa mada anaongelea sehemu ya ubongo ambayo kazi yake ni kufikiri,kusolve matatizo, kuchanganua taarifa za nje na kuzitolea majibu etc....hii ndo akili...hivyo anaongelea jinsi gani hii sehemu inatumika na kuzalisha matunda...au matokeo...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sahihisho kwa mtoa mada. Aliyeandika HOW TO WIN FRIENDS AND INFLUENCE PEOPLE ni Dale Carnegie. Ndiye pia aliyeandika HOW TO STOP WORRYING AND START LIVING. Great books indeed
Upo sahihi mkuu.
Nadhani mleta mada alipitiwa kidogo. Ni rahisi kuchanganya waandishi kama ukiwa msomaji wa vitabu au vitu vingi sana kwa muda mfupi.
 
Back
Top Bottom