Je, ni kweli binadamu tunatumia asilimia 10 ya uwezo wa ubongo, na nini kitatokea kama tutatumia asilimia 100 ya uwezo huo?

Bado sijaelewa.Je kinachoangaliwa ni 10% ya matumizi ya ubongo au 10% ya kufikiria kwetu.Kama ni matumizi ya ubongo katika utendaji kazi katika shughuli mbali mbali naweza kusema ubongo unafanya kazi kwa 100% ila kama ni kwenye kufikiria waliosema tunafikiria chini ya 10% wako sahihi kwasababu bado naamini yako mambo mengi sana ambayo binadamu bado hajayafikiria.Tena kama uku kwetu ndo kabisa hatutaki kusumbua bongo zetu kwenye tafakuri.Kwaiyo zile zama zilizosemwa kwenye Bible kua maarifa yataongezeka mimi naamini bado hazijafika kwasababu mambo mengi tunayoyaona sasa ni tafakari ya wazee wetu wa zamani.Kizazi cha sasa labda kwasababu tulikuta tayari vitu vimeshafikiriwa hatutaki kusumbuka sana kutafakari vya kwetu zaidi ya pale walipoishia wazee tunapambana kumodify mawazo ya wazee.
 
Ndio hapo utata unapokuja sasa. Era tuliyonayo imerelax sana. Tupo ktk comfort zone ambayo mwisho wake sio mzuri.

Mzungu na race kadhaa za dunia hii ndio pekee waliobaki wanaishi ktk reality kwa kias kikubwa. Wanashughulisha bongo zao kuzidi kugundua vitu vipya kila siku. They are producers.

Waafrika kwa asilimia kubwa tupo vifungoni. We are living just for surviving. Na hata mm na ww ambao tuna think out of the box tukisema tutoke out of this zone itahitajika nguvu ya ziada sabab tupo kifungoni.

IQ ni kweli tumetofautiana. Ndio mana hata darasani huwa hatupati maksi sawa wote.
suala LA IQ Naona ni imani tu hakuna ktu kama hchi. Wanafunzi kutofautiana max class hawez measure chochote about someone's mental ability
 
Sasa kipimo kipi ndio bora zaid kweny kumeasure mental ability?
hakuna kipimo kunachoweza kutofautisha... ila pale inapokua abnormal sana ndo twajakuwatambua watu waliochanganyikiwa na kadhalika... perfomance darasa iko influenced na vtu vngi sana.

Student anaweza perform low in class kwa sababu mbali mbali eidha hayuko interested na lessons husika ama pengine kuna vtu anavfikilia nje ya masoma yale ambayo yana weza kuwa positive ama negative Katina maisha yake au anamattzo huko hatokako

Vyote hv vnawezamfanya a loose concentration Mara kwa mara awapo katika lessons zake


Na haina maana kuwa ana low IQ
 
Dr Norman Vincent Peal outher wa kitabu kiitwacho The power of positive think anasema kuwa ikitokea binadamu akatumia akili yake kwa kufikia 50% angeweza kuujenga mji wa New York kwa siku 1.

Hii inaonyesha kwamba binadamu wengi bongo zetu ni new brand yaani hazijatumika kabisa. Watu wa aina ya Eistern, Newton, Kina Da Vinci ndio watu wanaoonekana kutumia akili nyingi sababu mambo waliyofanya yanaonekana. Na hii imewasaidia maana wao waliyaweka kwenye maandishi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dr Norman Vincent Peal outher wa kitabu kiitwacho The power of positive think anasema kuwa ikitokea binadamu akatumia akili yake kwa kufikia 50% angeweza kuujenga mji wa New York kwa siku 1.

Hii inaonyesha kwamba binadamu wengi bongo zetu ni new brand yaani hazijatumika kabisa. Watu wa aina ya Eistern, Newton, Kina Da Vinci ndio watu wanaoonekana kutumia akili nyingi sababu mambo waliyofanya yanaonekana. Na hii imewasaidia maana wao waliyaweka kwenye maandishi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kiukweli sometimes hili linafikirisha mno mkuu!! Sidhani kama nina fikra hata nusu theruthi ya da vinci...

Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
 
@Educational mentor tupe maoni yako kama mtaalamu wa mambo ya akili

Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
 
Hii imenikumbusha kichekesho kimoja kama sio ukweli.

Kwamba kulikuwa na vichwa 3 vimewekwa chumba cha maonyesho kimoja cha mzungu kingine kutoka Asia na kingine kutoka Africa. Kichwa cha mzungu hakikuwa na ubongo kabisa kile cha Masia ubongo ulikuwa robo na kile cha Mwafrika ubongo ulikuwa kama alivyozaliwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii imenikumbusha kichekesho kimoja kama sio ukweli.

Kwamba kulikuwa na vichwa 3 vimewekwa chumba cha maonyesho kimoja cha mzungu kingine kutoka Asia na kingine kutoka Africa. Kichwa cha mzungu hakikuwa na ubongo kabisa kile cha Masia ubongo ulikuwa robo na kile cha Mwafrika ubongo ulikuwa kama alivyozaliwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio story zenu wazee mnawadanganya watoto...
Eti Mungu wakati anagawa akili mwafrika alichagua ngoma wazungu wajachagua akili ya Maendeleo eti ndio maana tunadumisha ngoma za asili na mila kuliko kudumisha mambo ya Maendeleo

Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
 
Back
Top Bottom