Je, ni kweli bangi inaweza kukinga dhidi ya wachawi?

Sio bange pekee ipo pia mimea na madini pia hawa wapumbavu awakugusi.Nguvu ya uchawi ipo kwenye dawa so KILA dawa ijayo miiko yake Ili itende kazi,ukimeza dawa ukanywa maziwa au pombe dawa haiwezi fanya Kazi.So ukizijua Siri na codes za zao hawawezi kukusumbua.Sababu KILA kitu duniani ni hesabu na kanuni na KILA kanuni Ina ant yaani against.
So wengi wanadhurika na uchawi sababu ukosefu wa maarifa ya kutozijua codes na ethics za kichawi zinafanyaje Kazi.Zipo hata kanuni za kulala wakija usiku hawawezi kukubeba.Mwanadamu anaogopa mvua so majini nayo kuna vitu wanaogopa,hawa wapumbavu sio kwamba wao ni miamba Sana au wananguvu Sana kushinda binadamu sema tu wengi hawana maarifa na kuijua nguvu yao waliopewa na Mungu

Mkuu una madini sana ila naomba kufahamu codes za jinsi ya kufanya kabla ya kulala ili wasinisogelee kabisa
 
Mimi nawashauri sana wavuta bangi wasipende kukaa vijiweni. Bangi inapenda ukae peke yako uwaze plans zako za kimaisha au kama ni kufanya tafakari inasaidia sana. Bangi inakufanya kuwa mtu wa shukrani, mtu wa amani na inakujenga kiroho kama utaipenda kwa jinsi inavyokupa nguvu ya kuyatazama maisha katika mtazamo ambao ni clear. Bangi inafungua ile power iliyo ndani yako, hata hofu ya kesho inaondoka unaona unakuwa mtu wa matarajio makubwa katika kutafuta ndoto zako.

Lakini tatizo ni moja ukivuta bangi ukakaa kijiweni mnaanza kupiga story ambazo hazina uhalisia kabisa mwisho wa siku mtazungumzia na maisha ya watu tu, ona sasa mnaanza kumzungumzia Bibi ambaye hamna uhakika lakini mnahisi ni mchawi.
Unajua mkuu bangi ni kama amplifier, ukiamini kitu kwa udogo tu au ukiaminishwa utajijengea wazo mpaka utaamini vitu ambavyo havipo. Ona jamaa anavyoamini inafukuza wachawi. Wakati ni imani tu za mtaani.

Niliwahi kuzungumza na jamaa mmoja ambaye amejijenga kiroho sana, ingawa hatumii mjani, lakini anajitahidi kufuata na kuutafuta ukweli wa mambo mengi ya kidunia. Katika mazungumzo nikamuuliza swali kama hili, maana hata hapa jf watu wameuliza swali kama hili mara nyingi mno. Akaniambia viumbe kama majini wanavutiwa na baadhi ya tabia za kibinadamu ambazo sometimes ni anasa, kama pombe, bangi, ngono n.k. Hivyo kama wewe unatumia mjani jua kwamba kuna viumbe wanavutiwa na harufu yake na wanakuwa wanachill na wewe kipindi unavuta bangi.

Vilevile kuna nchi nyingi za kiafrika na huko majuu, waganga na wachawi ( kule nje ya Africa uchawi ni tasnia na taaluma siyo kulogana sana kama Africa) lazima wavute bangi ili wapate stimu ya kupandisha mashetani yao, hata ukiingia mtandaoni vitu kama hivyo utavikuta.

Sasa sijui kwanini waTanzania tumeamua kudanganyana kiasi hiki kuhusu bangi. Mara utaambiwa bangi inafanya uwe kichaa, mara ukivuta bangi punje ya mchele inakuwa jabali, ukivuta bangi ukawa mcheshi na watu, watu wanasema bangi hizo. Yaani mambo mengi ambayo kimsingi hayana uhalisia kabisa.
we umeshawahi kuvuta?
 
Bangi huongeza machale au hisia za kiroho, ziwe nzuri au mbaya. Sasa ikiwa kuna kitu kibaya au mtu mbaya mahali, yule mtu anaekula mjani ni rahisi kumjua. Ili kujua zaidi kuhusu mmea, ingia google search, pdfdrive, humo search liber 420. Ni kitabu chenye mambo mengi kuhusu mjani hasa matumizi yake ya kiroho na katika ibada.
 
Hakuna uchawi wala hakuna shetani. Pacha ubaguzi na masaa.Sayansi imekupita kushoto
 
Mimi nawashauri sana wavuta bangi wasipende kukaa vijiweni. Bangi inapenda ukae peke yako uwaze plans zako za kimaisha au kama ni kufanya tafakari inasaidia sana. Bangi inakufanya kuwa mtu wa shukrani, mtu wa amani na inakujenga kiroho kama utaipenda kwa jinsi inavyokupa nguvu ya kuyatazama maisha katika mtazamo ambao ni clear. Bangi inafungua ile power iliyo ndani yako, hata hofu ya kesho inaondoka unaona unakuwa mtu wa matarajio makubwa katika kutafuta ndoto zako.

Lakini tatizo ni moja ukivuta bangi ukakaa kijiweni mnaanza kupiga story ambazo hazina uhalisia kabisa mwisho wa siku mtazungumzia na maisha ya watu tu, ona sasa mnaanza kumzungumzia Bibi ambaye hamna uhakika lakini mnahisi ni mchawi.
Unajua mkuu bangi ni kama amplifier, ukiamini kitu kwa udogo tu au ukiaminishwa utajijengea wazo mpaka utaamini vitu ambavyo havipo. Ona jamaa anavyoamini inafukuza wachawi. Wakati ni imani tu za mtaani.

Niliwahi kuzungumza na jamaa mmoja ambaye amejijenga kiroho sana, ingawa hatumii mjani, lakini anajitahidi kufuata na kuutafuta ukweli wa mambo mengi ya kidunia. Katika mazungumzo nikamuuliza swali kama hili, maana hata hapa jf watu wameuliza swali kama hili mara nyingi mno. Akaniambia viumbe kama majini wanavutiwa na baadhi ya tabia za kibinadamu ambazo sometimes ni anasa, kama pombe, bangi, ngono n.k. Hivyo kama wewe unatumia mjani jua kwamba kuna viumbe wanavutiwa na harufu yake na wanakuwa wanachill na wewe kipindi unavuta bangi.

Vilevile kuna nchi nyingi za kiafrika na huko majuu, waganga na wachawi ( kule nje ya Africa uchawi ni tasnia na taaluma siyo kulogana sana kama Africa) lazima wavute bangi ili wapate stimu ya kupandisha mashetani yao, hata ukiingia mtandaoni vitu kama hivyo utavikuta.

Sasa sijui kwanini waTanzania tumeamua kudanganyana kiasi hiki kuhusu bangi. Mara utaambiwa bangi inafanya uwe kichaa, mara ukivuta bangi punje ya mchele inakuwa jabali, ukivuta bangi ukawa mcheshi na watu, watu wanasema bangi hizo. Yaani mambo mengi ambayo kimsingi hayana uhalisia kabisa.
Noted
 
Sio bange pekee ipo pia mimea na madini pia hawa wapumbavu awakugusi.Nguvu ya uchawi ipo kwenye dawa so KILA dawa ijayo miiko yake Ili itende kazi,ukimeza dawa ukanywa maziwa au pombe dawa haiwezi fanya Kazi.So ukizijua Siri na codes za zao hawawezi kukusumbua.Sababu KILA kitu duniani ni hesabu na kanuni na KILA kanuni Ina ant yaani against.
So wengi wanadhurika na uchawi sababu ukosefu wa maarifa ya kutozijua codes na ethics za kichawi zinafanyaje Kazi.Zipo hata kanuni za kulala wakija usiku hawawezi kukubeba.Mwanadamu anaogopa mvua so majini nayo kuna vitu wanaogopa,hawa wapumbavu sio kwamba wao ni miamba Sana au wananguvu Sana kushinda binadamu sema tu wengi hawana maarifa na kuijua nguvu yao waliopewa na Mungu
Acha porojo tutajie izo code Na hesab Na kanuni kama ww ni msema kweli
 
Mimi nawashauri sana wavuta bangi wasipende kukaa vijiweni. Bangi inapenda ukae peke yako uwaze plans zako za kimaisha au kama ni kufanya tafakari inasaidia sana. Bangi inakufanya kuwa mtu wa shukrani, mtu wa amani na inakujenga kiroho kama utaipenda kwa jinsi inavyokupa nguvu ya kuyatazama maisha katika mtazamo ambao ni clear. Bangi inafungua ile power iliyo ndani yako, hata hofu ya kesho inaondoka unaona unakuwa mtu wa matarajio makubwa katika kutafuta ndoto zako.

Lakini tatizo ni moja ukivuta bangi ukakaa kijiweni mnaanza kupiga story ambazo hazina uhalisia kabisa mwisho wa siku mtazungumzia na maisha ya watu tu, ona sasa mnaanza kumzungumzia Bibi ambaye hamna uhakika lakini mnahisi ni mchawi.
Unajua mkuu bangi ni kama amplifier, ukiamini kitu kwa udogo tu au ukiaminishwa utajijengea wazo mpaka utaamini vitu ambavyo havipo. Ona jamaa anavyoamini inafukuza wachawi. Wakati ni imani tu za mtaani.

Niliwahi kuzungumza na jamaa mmoja ambaye amejijenga kiroho sana, ingawa hatumii mjani, lakini anajitahidi kufuata na kuutafuta ukweli wa mambo mengi ya kidunia. Katika mazungumzo nikamuuliza swali kama hili, maana hata hapa jf watu wameuliza swali kama hili mara nyingi mno. Akaniambia viumbe kama majini wanavutiwa na baadhi ya tabia za kibinadamu ambazo sometimes ni anasa, kama pombe, bangi, ngono n.k. Hivyo kama wewe unatumia mjani jua kwamba kuna viumbe wanavutiwa na harufu yake na wanakuwa wanachill na wewe kipindi unavuta bangi.

Vilevile kuna nchi nyingi za kiafrika na huko majuu, waganga na wachawi ( kule nje ya Africa uchawi ni tasnia na taaluma siyo kulogana sana kama Africa) lazima wavute bangi ili wapate stimu ya kupandisha mashetani yao, hata ukiingia mtandaoni vitu kama hivyo utavikuta.

Sasa sijui kwanini waTanzania tumeamua kudanganyana kiasi hiki kuhusu bangi. Mara utaambiwa bangi inafanya uwe kichaa, mara ukivuta bangi punje ya mchele inakuwa jabali, ukivuta bangi ukawa mcheshi na watu, watu wanasema bangi hizo. Yaani mambo mengi ambayo kimsingi hayana uhalisia kabisa.
Hii mada najua ni. Ya mda Sana kifupi uliyosema Kwa upande wangu nimeyaona...na mara zote nakuwa hivyo nikivuta nikiwa peke angu napangilia mambo meng na unanipa uhalisia wa mambo mengi mnoo na hata kipenz changu napoongea naye pind anapokuwa mbali najikuta Nina mbinu nyingi za kumsoma yupo ktk Hali gani mpaka anasemaga we unanionea huku niliko aunaniona au kumbe hapana na inanifanyaga nisijichukulie poa Kwa mambo mengii..kifupi nikivuta nikiwa peke angu najigundua mwenyewe kabla ya kuambiwa na umefanya niwe mtu poa Kwa kila mmoja na nimekuwa kipenz cha wengi kwa sababu imenifanya niwe mkarim na mpole mwenye huruma na kusamehe..lakini pia umefanya niyathamini maisha yangu binafsi kuanzia ndan mpaka njee...Kaka hongera Kwa kunifanya nisijione mtu flani ambaye Wenda nilidhani solo sawa..
 
Back
Top Bottom