Je, ni kweli baada ya $ 100m ya advance ya 'K.U' cha Barrick, sasa balance kulipwa kwa mikupuo 2 ya $ 100m badala ya mikupuo 5 ya $ 40m kwa miaka 5?

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,434
113,444
Wanabodi,

Kwanza niungane na Watanzania wenzangu kumpongeza rais Magufuli na timu ya majadiliano kwa malipo ya Advance ya Dola $ milioni 100 ikiwa ni sehemu za yale malipo ya fedha zilizoitwa Kishika Uchumba cha Dola milioni 300 za Barrick.

Pongezi hizi nazitoa kwa dhati kwanza kwasababu ni mimi ni miongoni mwa Matomaso wa JF ambao tulikuwa na mashaka kuwa fedha hii haitalipwa, hivyo hadi jana ulipolipwa, ndipo tumeamini.

Barrick katika taarifa yao, wamesema balance watalipa ndani ya miaka mitano, kwa kulipa dola milioni 40 kila mwaka.

Lakini leo nimemsikia Naibu Waziri wa Madini, Mhe. Stanslaus Nyongo akizungumza live na Clouds Radio, kipindi cha 360, amesema balance italipwa katika Mikupuo miwili ya Dola milioni 100 kila mkupuo. Hii kama ni kweli, then ni habari njema kwetu.

Mfano tungeipata ile dola milioni 300 yote kwa mpigo, tungeweza kufanyia mambo makubwa zaidi kuliko kupata dola milioni 40 kila mwaka kwa miaka mitano!

Sasa ni hili la balance ya malipo, kama wenyewe wamesema watalipa dola milioni 40 kwa mwaka ndani ya miaka 5, halafu tukafanikiwa kuwahimiza waharakishe, hivyo hili tangazo la Waziri kuwa sasa tutalipwa dola milioni 100 in two installments, hili ni jambo kubwa jema na zuri kwa maslahi ya taifa. Issue inabaki ni moja tuu, nani mkweli kati ya Barrick na Waziri wetu?.

Nawatakia Jumatano Njema.

Paskali
 
Wanabodi,

Kwanza niungane na Watanzania wenzangu kumpongeza rais Magufuli na timu ya majadiliano kwa malipo ya Advance ya Dola $ milioni 100 ikiwa ni sehemu za yale malipo ya fedha zilizoitwa Kishika Uchumba cha Dola milioni 300 za Barrick.

Pongezi hizi nazitoa kwa dhati kwanza kwasababu ni mimi ni miongoni mwa Matomaso wa JF ambao tulikuwa na mashaka kuwa fedha hii haitalipwa, hivyo hadi jana ulipolipwa, ndipo tumeamini.

Barrick katika taarifa yao, wamesema balance watalipa ndani ya miaka mitano, kwa kulipa dola milioni 40 kila mwaka.

Lakini leo nimemsikia Naibu Waziri wa Madini, Mhe. Stanslaus Nyongo akizungumza live na Clouds Radio, kipindi cha 360, amesema balance italipwa katika Mikupuo miwili ya Dola milioni 100 kila mkupuo. Hii kama ni kweli, then ni habari njema kwetu.

Mfano tungeipata ile dola milioni 300 yote kwa mpigo, tungeweza kufanyia mambo makubwa zaidi kuliko kupata dola milioni 40 kila mwaka kwa miaka mitano!

Sasa ni hili la balance ya malipo, kama wenyewe wamesema watalipa dola milioni 40 kwa mwaka ndani ya miaka 5, halafu tukafanikiwa kuwahimiza waharakishe, hivyo hili tangazo la Waziri kuwa sasa tutalipwa dola milioni 100 in two installments, hili ni jambo kubwa jema na zuri kwa maslahi ya taifa.

Nawatakia Jumatano Njema.

Paskali

Pengine wameona bora walipe mapema kutokana na kupanda kwa bei ya dhahabu. Wakati wa majadiliano ounce moja ilikuwa kati ya US$ 1200-1300, lakini sasa hivi bei imepanda sana kutokana na Covid-19 na nchi zote kubwa wanachapisha mapesa yao. Sasa wenye akili wameanza kuwekeza kwenye dhahabu. Bei hivi sasa ipo juu, bei ya leo kwa ounce ni $1734 (LSE).
 
This thread sounds like imposing a question with some sort of dismay... Tumsikilize au tumwamini nani kati ya Payer and Payee.

"K.U" = Kishika Uchumba.

What's up Mkuu Pasco.

-Kaveli-
 
Wanabodi,

Kwanza niungane na Watanzania wenzangu kumpongeza rais Magufuli na timu ya majadiliano kwa malipo ya Advance ya Dola $ milioni 100 ikiwa ni sehemu za yale malipo ya fedha zilizoitwa Kishika Uchumba cha Dola milioni 300 za Barrick.

Pongezi hizi nazitoa kwa dhati kwanza kwasababu ni mimi ni miongoni mwa Matomaso wa JF ambao tulikuwa na mashaka kuwa fedha hii haitalipwa, hivyo hadi jana ulipolipwa, ndipo tumeamini.

Barrick katika taarifa yao, wamesema balance watalipa ndani ya miaka mitano, kwa kulipa dola milioni 40 kila mwaka.

Lakini leo nimemsikia Naibu Waziri wa Madini, Mhe. Stanslaus Nyongo akizungumza live na Clouds Radio, kipindi cha 360, amesema balance italipwa katika Mikupuo miwili ya Dola milioni 100 kila mkupuo. Hii kama ni kweli, then ni habari njema kwetu.

Mfano tungeipata ile dola milioni 300 yote kwa mpigo, tungeweza kufanyia mambo makubwa zaidi kuliko kupata dola milioni 40 kila mwaka kwa miaka mitano!

Sasa ni hili la balance ya malipo, kama wenyewe wamesema watalipa dola milioni 40 kwa mwaka ndani ya miaka 5, halafu tukafanikiwa kuwahimiza waharakishe, hivyo hili tangazo la Waziri kuwa sasa tutalipwa dola milioni 100 in two installments, hili ni jambo kubwa jema na zuri kwa maslahi ya taifa.

Nawatakia Jumatano Njema.

Paskali

Hazina tija kwetu kutuboreshea Hali ya maisha.Zitaishia kwenye ujenzi wa majengo ili aje kukumbukwa na sio kuendeleza watu
 
Back
Top Bottom