Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,375
- 14,870
Nimeijaribu hiyo application lakini ipo slow sana.
Ahsanteni kwa wote mliochangia uzi huu.
Wewe Ulisikia Wapi ??!!š¤£
Nimeijaribu hiyo application lakini ipo slow sana.
Ahsanteni kwa wote mliochangia uzi huu.
mkuu, vyuma vimekaza nini,Hii bado inatoa free internet kweli
Muda mwingine kunahitajika campan ya vitu kama hivyomkuu, vyuma vimekaza nini,
Binafsi japo nina laini ya Halotel lakini bado sijapata access nayo.Psiphon pro ni kwa laini ya halotel tu! Then Ina access ya internet incase of WhatsApp,and other apps consume less data network,pia unawez fungua pics na kutuma pics in WhatsApp but cio videos, inshort it's speed is very slow
Utarudi mwenyewe kwenye bundle la kawaida
Badala ya kusubiri maoni kwa nini usiidownload uijaribuWakuu kama kichwa cha uzi kinavyojieleza hapo juu.
Hivi ni kweli kuna application inayoitwa "Psiphon Pro" na huwa inatumika kupata Free Browser Internet?
Nasubiri maoni yenu.
Vpn gan hyNinaunganisha free internet kwa watumiaji wa Vpn. Kwa Mwezi 10k Megabytes bila kikomo.
Speed ya internet ni 9mb / sec.
Inafaa kwa
* social media.
*Youtube
*Downloads za picha na video.