Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inategemea na kazi yenyewe!
Jamani wakuu naomba kuuliza je ni kweli bila kutoa pesa au kuwa na mtu wa kukukingia kifua ni ngumu kuajiriwa?
Si ajira tu hata sehemu za kufanyia field kama huna mjomba kwenye hiyo kampuni huwezipata kirahisi
nd this is very bad...hasa ukizingatia kuna ambao hatuna hao maconnector...tunabaki kusambaza cv tu hamna kuitwa na hata ukiitwa unaishia kupigwa interview tu
Sasa wakuu naombeni mni pm mnipe contact za watu wanaoweza kuwa msaada kwangu ili niongee nao. Nipo tayari kutoa pesa nipate ajira. Am desperate now i badly need a job more than ever. Thx
acaha mawazo ya kifisadi mdogo wangu, fight yoyr way up. Ukitoa pesa ili uingie kwenye ajira means na wewe utadai pesa mtu akitaka kuingia mahali ulipo, na huu mfumo utaendelea, na je uko tayari kufanya mangapi kwa ajili ya ajira? Stop sounding so desperate unless you are not sure na ulichokuwa unafanya shuleni/chuoni. Tunajenga kizazi cha aina gani? Usiamini sana hao wanaokwambia lazima utoe kitu ndo upate ajira, thats not true, better yourself in it usage, language and have confidence and you will always win.
lakini si fields zote. ila kama ni hizi za siasa siasa - busines administration and the like...!!!!??? shughuli yake ni pevu