Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,367
- 3,778
Nimepitia maeneo na kusikia tunasemwa kuwa sisi watanzania huwa ni waoga sana, mkusanyiko huu ulikuwa unajumuisha watanzania na wengine wa mataifa jirani na kwetu, walichosema ni kwamba ikitokea swala la:
Mahakamani: mtanzania anapopewa kesi ya uongo au madai ya uongo au kudhalilishwa na ikitokea ameshinda kesi dhidi ya tuhuma juu yake huwa ni muoga kuomba kulipwa fidia kwa muda alio upoteza, kwa ajili ya gharama za kesi na mengineyo hivyo huishia kukaa kimya bila ya kujali amepoteza sana kwenye kesi hiyo. Wakaongeza haijalishi ni taasisi ipi lakini kwenye ofisi binafsi mtanzania anweza akawa na ujasiri wa kudai fidia ila taasisi zingine na watu wengine kama viongozi na wakuu flan huwa ni waoga kudai fidia je hili ni kweli? Walichosema ni kwamba endapo hawatakuwa waoga na kuamua kuwa wanadai fidia basi matatizo madogo ya kushtakiana na kupewa kesi yatakuwa ni historia. Sasa mtanzania afanyeje ili awe na ujasiri.
Kuomba kazi za kufundisha nje ya nchi: mtanzania hata akiwa professor amehitimu ulaya au marekani au hapa nchini mfano amepata PhD huishia kuomba nafasi za kisiasa badala ya kutafuta vibaruwa vya kufundisha nje ya nchi na nchini kwake maana anaweza akawa anafundisha nchini kwake na nchi za nje anaenda kama consultant, sasa haieleweki ni uoga na kukosa self confidence ya kuwa ma consuntants nje ya nchi hata nchi jirani achilia mbali ubaguzi na ukabila wakaenda mbali kuanza na takwimu ya watanzania ma professor kwenye vyuo vya nchi jirani na kwetu Kenya, Uganda, Burundi, nchi za afrika magharibi… takwimu haikuwepo ila waliosoma huko walisema wengine hawajawahi sikia na wengine walisema yuko mmoja tu, sasa wanao fundisha hapa nchini na kufundisha nje ni wa kuhesabu yani wachache sana ukilinganisha na wenzetu maana wao ni waabunifu na wanasikika sana kwa michango yao katika ngazi za kimataifa ndio maana wanachukuliwa kufundisha vyuo vya nje, sasa hapa tatizo ni nini. Wanasema ma professor wengi baada ya kufundisha vyuoni jioni utawaona wako na redio zao wanasikilza taarifa ya habari na likizo ikifika wanaenda vijijini kwao na si kutafuta sehem za kuchakarika nje ya nchi ili kuongeza wigo wa maslahi na posho na hakuna mwenye ujasiri wa kukataa nafasi za kisiasa maana wanajua ndio hapo wanapoona pana wafaa, swala sio maslahi swala ni exposure na michango ya kitafiti na elimu kupeleka nje na kuleta ndani ya nchi. Je swala hili ni kweli na linaendelea tu au.
Kuomba na kufanya kazi nyinginezo kwenye mashirika ya nje ya nchi: kushindwa kujieleza kwenye interview za mashirika makubwa ya kimataifa, kukosa confidence ya kuingia kwenye mashirika na kufanya kazi bila ya mazoea. Tunao wengi walio hitumu toka mwaka 2014 na kuendelea au nyuma ya hapo na wana Masters au postgraduate wanakosa ujasiri wa kuwa buzy kuomba kazi nje ya nchi badala yake wanasubiri serikali ndio iajiri waombe au mashirika yasiyo ya kiserikali yafungue matawi ndio waombe kazi, wachache sana wanaomba na ni wa kuhesabu. Je ni kweli sasa tufanyeje au nini kifanyike ili tuwe na ujasiri huo.
Mahakamani: mtanzania anapopewa kesi ya uongo au madai ya uongo au kudhalilishwa na ikitokea ameshinda kesi dhidi ya tuhuma juu yake huwa ni muoga kuomba kulipwa fidia kwa muda alio upoteza, kwa ajili ya gharama za kesi na mengineyo hivyo huishia kukaa kimya bila ya kujali amepoteza sana kwenye kesi hiyo. Wakaongeza haijalishi ni taasisi ipi lakini kwenye ofisi binafsi mtanzania anweza akawa na ujasiri wa kudai fidia ila taasisi zingine na watu wengine kama viongozi na wakuu flan huwa ni waoga kudai fidia je hili ni kweli? Walichosema ni kwamba endapo hawatakuwa waoga na kuamua kuwa wanadai fidia basi matatizo madogo ya kushtakiana na kupewa kesi yatakuwa ni historia. Sasa mtanzania afanyeje ili awe na ujasiri.
Kuomba kazi za kufundisha nje ya nchi: mtanzania hata akiwa professor amehitimu ulaya au marekani au hapa nchini mfano amepata PhD huishia kuomba nafasi za kisiasa badala ya kutafuta vibaruwa vya kufundisha nje ya nchi na nchini kwake maana anaweza akawa anafundisha nchini kwake na nchi za nje anaenda kama consultant, sasa haieleweki ni uoga na kukosa self confidence ya kuwa ma consuntants nje ya nchi hata nchi jirani achilia mbali ubaguzi na ukabila wakaenda mbali kuanza na takwimu ya watanzania ma professor kwenye vyuo vya nchi jirani na kwetu Kenya, Uganda, Burundi, nchi za afrika magharibi… takwimu haikuwepo ila waliosoma huko walisema wengine hawajawahi sikia na wengine walisema yuko mmoja tu, sasa wanao fundisha hapa nchini na kufundisha nje ni wa kuhesabu yani wachache sana ukilinganisha na wenzetu maana wao ni waabunifu na wanasikika sana kwa michango yao katika ngazi za kimataifa ndio maana wanachukuliwa kufundisha vyuo vya nje, sasa hapa tatizo ni nini. Wanasema ma professor wengi baada ya kufundisha vyuoni jioni utawaona wako na redio zao wanasikilza taarifa ya habari na likizo ikifika wanaenda vijijini kwao na si kutafuta sehem za kuchakarika nje ya nchi ili kuongeza wigo wa maslahi na posho na hakuna mwenye ujasiri wa kukataa nafasi za kisiasa maana wanajua ndio hapo wanapoona pana wafaa, swala sio maslahi swala ni exposure na michango ya kitafiti na elimu kupeleka nje na kuleta ndani ya nchi. Je swala hili ni kweli na linaendelea tu au.
Kuomba na kufanya kazi nyinginezo kwenye mashirika ya nje ya nchi: kushindwa kujieleza kwenye interview za mashirika makubwa ya kimataifa, kukosa confidence ya kuingia kwenye mashirika na kufanya kazi bila ya mazoea. Tunao wengi walio hitumu toka mwaka 2014 na kuendelea au nyuma ya hapo na wana Masters au postgraduate wanakosa ujasiri wa kuwa buzy kuomba kazi nje ya nchi badala yake wanasubiri serikali ndio iajiri waombe au mashirika yasiyo ya kiserikali yafungue matawi ndio waombe kazi, wachache sana wanaomba na ni wa kuhesabu. Je ni kweli sasa tufanyeje au nini kifanyike ili tuwe na ujasiri huo.