Duke Tachez
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 5,441
- 4,093
zamani mahari zilikuwa kubwa inawezekana kwasababu mabinti walikua bikra3million mbona kitu Cha kidgo na mahari ya kawaida tu.Vijana Leo bana kila kitu wanacomplain tu.Watu tulioa na kutoa ng'ombe 40 plus mbuzi na vishika uchumba kibao Sasa wewe 3millio tu unalalamikaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app