Je, ni kwanini upimaji wa DNA umeongezeka sana kwa Mikoa ya Dar es Salaam, Kilimanjaro na Morogoro pekee?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,516
108,791
Nina Jirani yangu Mmoja ana Watoto Saba ( 7 ) ila hakuna hata Mmoja amefanana nae achilia mbali hata Kufanana na Wazazi wake na Ndugu zake lakini anawapenda kweli kweli. Yaani Mimi nizae na Mwanamke Watoto Saba ( 7 ) kama hao halafu hata Mmoja hajafanana nami kwa chochote kile huyo Mwanamke ndiyo Siku hiyo atajua ni kwanini Wimbo wa Taifa huwa hauna ' Kolabo ' na kwanini katika Mikoa yote kuna Mashoga ( Mabwabwa / Mapunga ) ila Mkoani Mara ( Musoma ) hakuna.

Jamani wana Dar es Salaam, Kilimanjaro na Morogoro hasa Wanaume ' mmeshtuka ' na nini hadi mnapima sana DNA za Watoto wenu?
 
Dunia ya sasa tunapotoshwa na mitandao sijui ni kitu gani

watu wameshajiwekea mtoto asipofanana na wewe (huyo si wako)

si kweli hata kidogo,ila kwakua ndio tulipofikia si mbaya acha wakapime.

Tukiweka utani pembeni

Mi mwenyewe unizalie toto halifanani na mimi asee naenda mpima "niacheni"
 
Miaka ya hivi karibuni wahanga wakubwa wamekuwa wanawake waliomo kwenye ndoa. Wengi wao wanaongoza kusaliti ndoa zao wamekuwa wepesi mno.

Hili limepelekea wao kupata mimba za kushtukiza na hivyo kupelekea ongezeko la wanaume walioko kwenye ndoa kulea watoto ambao sio wao.
 
Miaka ya hivi karibuni wahanga wakubwa wamekuwa wanawake waliomo kwenye ndoa. Wengi wao wanaongoza kusaliti ndoa zao wamekuwa wepesi mno.

Hili limepelekea wao kupata mimba za kushtukiza na hivyo kupelekea ongezeko la wanaume walioko kwenye ndoa kulea watoto ambao sio wao.

Hivi Mkuu inawezekana kweli Mkeo akakuzalia Watoto Saba ( 7 ) halafu Wote hakuna hata Mmoja mwenye ' Features ' na ' Characteristics ' kama zako? Halafu huyu Jirani yangu huwa namshauri kila Siku akapime DNA lenyewe ndiyo Kwanza linaniambia tu kuwa anamuachia Mungu. Yaani natamani hata nimpige Ngumi Akili zimkae sawa kwani hapa ni dhahiri shahiri kuwa ' linachapiwa ' na ' linaea ' Watoto si wake lakini halisikii chochote bila Shaka ' Limbwata ' aliyopewa imefukiwa katika Kina cha Bahari cha Kikubwa pale Nungwi.
 
Siku hizi wanawake wamezidi usaliti na mbaya zaidi unawezajikuta maisha yako yote umeishia kulea mbegu za wanaume wenzako tu bila kuwa na kitu chako.

Ndiyo maana watu wanapenda kuhakikisha kwa DNA.
 
Daah ni ujinga sana kulelea mtoto uliebambikiwa tatizo Hata ukienda Pima DNA utaambiwa ni wako hata kama sio wako huo ndo ukweli labda nenda nchi jirani sio nchi hii plus na kibali maalumu kutoka mahakamani sio kiholela

Eti wanalinda ustawi na malezi ya mtoto yaani wanayumba sana sasa nini faida za hivyo vipimo kama majibu wanayachakachua
 
Back
Top Bottom