Congo
JF-Expert Member
- Mar 13, 2008
- 2,064
- 2,301
Mbona na wewe umeanza kulaumuBinafsi Kuna Miradi Yangu Binafsi Nimepanga Kuisimika ,lakini Hii Ya Magodoro Ilinivutia Pia Kama Ikija Kutokea Watu Wakaweza Partnership Ya Kujenga Kiwanda Hiki Naweza Kujoin
- Tatizo Letu Tuna Overdependence Kwa Serikali Na Wanasiasa Utafikiri Kuna Anaeweza Kugeuza Nchi Edeni, Serikali Siku Zote Ndo Inatutegemea Sisi Kwa Kodi