bulicheka 4
JF-Expert Member
- Mar 22, 2020
- 915
- 1,019
Na yule Mkurugenzi wa Jiji pendwa tunamsubiri kuwa msimamizi wa uchaguzi wakati aligombea ubungeWatu tunakusanya ushahidi wa kila kitu alafu tunawaangalia tu NEC.
Na yule Mkurugenzi wa Jiji pendwa tunamsubiri kuwa msimamizi wa uchaguzi wakati aligombea ubungeWatu tunakusanya ushahidi wa kila kitu alafu tunawaangalia tu NEC.
CCM unatafutaje wadhamini bwashee?Uwezo mdogo,JK hakuwa na hayo majukumu? Je Baada ya kuchukua form yule mtu wako pale Dodoma alifanya nini?
Aende kuomba wadhamini Akiwa kuzungukwa na ma AK45 , itakuwa ni sawa na kwenda kuwalazimisha watu wamdhaminiMambo yamepamba moto, wakti Lissu anazunguka mikoani kutafuta wadhamini, Rais Magufuli anawatuma makada wa CCM kutembeza fomu kimya kimya ili zijazwe na wadhamini katika mikoa husika.
Je, huu ni mkakati wa kumkata Lissu kwa madai kuwa alianza kampeni kabla kuteuliwa na NEC?
Wanataka hiyo style yake ije iwe SI Unit ili wamuengue Lissu kuwa yeye ameshaanza kampeni kabla ya muda.Mambo yamepamba moto, wakti Lissu anazunguka mikoani kutafuta wadhamini, Rais Magufuli anawatuma makada wa CCM kutembeza fomu kimya kimya ili zijazwe na wadhamini katika mikoa husika.
Je, huu ni mkakati wa kumkata Lissu kwa madai kuwa alianza kampeni kabla kuteuliwa na NEC?
Bila Figisu Jiwe hapati huo udhaminiMambo yamepamba moto, wakti Lissu anazunguka mikoani kutafuta wadhamini, Rais Magufuli anawatuma makada wa CCM kutembeza fomu kimya kimya ili zijazwe na wadhamini katika mikoa husika.
Je, huu ni mkakati wa kumkata Lissu kwa madai kuwa alianza kampeni kabla kuteuliwa na NEC?
Kizuri chajiuza, kibaya chajitembeza.Mambo yamepamba moto, wakti Lissu anazunguka mikoani kutafuta wadhamini, Rais Magufuli anawatuma makada wa CCM kutembeza fomu kimya kimya ili zijazwe na wadhamini katika mikoa husika.
Je, huu ni mkakati wa kumkata Lissu kwa madai kuwa alianza kampeni kabla kuteuliwa na NEC?
Ana maana kwa kuraAlishindwaje wakati ndio Rais
Watuwengi hawajui km nilazima upate wadhamini kwakuzunguka nchi nzima pia wananchi wamemisi kinyemi japo nikidondaMkuu watu 200 unawapataje kwa mfano bila mkutano?Magu nae alifanya baada ya kuchukua form pale Dodoma but also this has been a practice kila mwaka hata 2015 wagombea walifanya hivyo
mkuu mbona miaka yote wangombea hutembea kuomba wadhamini na hawajawai kukatwa sema maghu na chama chake kaamua ndo iwe staili yao na hata hivyo ccm 2015 mgombea husika alitembea kimia kimia.so ndo mfumo anaoutaka ,Mambo yamepamba moto, wakti Lissu anazunguka mikoani kutafuta wadhamini, Rais Magufuli anawatuma makada wa CCM kutembeza fomu kimya kimya ili zijazwe na wadhamini katika mikoa husika.
Je, huu ni mkakati wa kumkata Lissu kwa madai kuwa alianza kampeni kabla kuteuliwa na NEC?
Bwashee watu wengi wanaoenda kwa Lisu ni akina " Thomaso"......wanakwenda kujiridhisha kama " Ni Yeye " kweli?
Anajuwa uchafu wake na anajuwa hakubaliki katika makundi mtammbuka ya WaTanzania. Sioni Magufuli akipata hata 30% ya kura. Atapata kura za akina Makonda na ndugu zake wa Chatto anaowapa uteuzi kila siku.Mambo yamepamba moto, wakti Lissu anazunguka mikoani kutafuta wadhamini, Rais Magufuli anawatuma makada wa CCM kutembeza fomu kimya kimya ili zijazwe na wadhamini katika mikoa husika.
Je, huu ni mkakati wa kumkata Lissu kwa madai kuwa alianza kampeni kabla kuteuliwa na NEC?
Kizuri chajiuza, kibaya chajitembeza.
TUKUTANE OKTOBA 28!
Ni hapo ndipo tunaweza kujifunza kupitia tofauti kati ya madini ya chumvi na dhahabu kwa mwanadamu. Ijapokuwa madini ya chumvi yana umuhimu mkubwa ktk uhai na afya ya mwili mwa mwanadamu, lkn kutokana uwingi na urahisi wa upatikanaji wake unayafanya madini haya kuwa na thamani ya chini sana.Mambo yamepamba moto, wakti Lissu anazunguka mikoani kutafuta wadhamini, Rais Magufuli anawatuma makada wa CCM kutembeza fomu kimya kimya ili zijazwe na wadhamini katika mikoa husika.
Je, huu ni mkakati wa kumkata Lissu kwa madai kuwa alianza kampeni kabla kuteuliwa na NEC?
Anaogopa aibu,Magu huyu wa 2020 ni tofauti kabisa na Magu wa 2015, Magu huyu wa 2020 bila police na vyombo vingine vya dola kumsaidia wadhamini 200 kila mkoa atawapata wapi? Hakuna wa kujitokeza kwa hiari yake
Nakwambiaje ndugu yangu, CCM watajua hawajui mwaka huu. Kama ni mapingamizi na spana, yatawekwa na zitapigwa juu yao!Na yule Mkurugenzi wa Jiji pendwa tunamsubiri kuwa msimamizi wa uchaguzi wakati aligombea ubunge
Lisu hajaitisha mkutano.Watu wanakuja wenyewe, unafanyaje?Je, huu ni mkakati wa kumkata Lissu kwa madai kuwa alianza kampeni kabla kuteuliwa na NEC?
Akida Jumbe!Lissu anapiga kampeni jiwe anakubalika kwa wananchi ndio maana kila kona lissu anayoenda lazima wapiga picha wawepo iliwaturushie picha kuwa anakubalika
Nadhani ni slip of tongue.. alitaka kusema wanamfata na mamilioni😂Habari na picha ...hivi Jo unayajua mamilion yalivyo lakini?