Uchaguzi 2020 Je, ni kwanini Magufuli anatafuta wadhamini kimya kimya?

Inauma na inaudhi, mtu ambaye hajajenga flyover, kununua ndege wala kujenga bwawa kukubalika hivyo. Tena hayo yanafanyika huku nchi ikiwa imeshurutishwa kuamini kuwa mtu huyo ni msaliti. Hali hiyo inaonyesha wananchi bado wanataka mabadiliko, na hawajayapata, bali miradi inayofanyika kwa kodi za wananchi ndio inatumika kulazimisha nchi irudi kuwa ya chama kimoja cha watoa rushwa. Mbinu pekee ni ushindi kama ule wa SM, maana wananchi hawaonekani kusujudia vitu.
Ndo mumeona hili ndo tundu la kufugia hao ndege.
FB_IMG_15972933175517078.jpeg
 
Anajuwa uchafu wake na anajuwa hakubaliki katika makundi mtammbuka ya WaTanzania. Sioni Magufuli akipata hata 30% ya kura. Atapata kura za akina Makonda na ndugu zake wa Chatto anaowapa uteuzi kila siku.

Wa Tanzania wote au wenyewe au ndugu zao amewaathiri kimaisha kwa maamuzi haya:-
-Kuwaondoa wanafunzi wa UDOM waliokuwa wanasoma ualimu wa sayansi
- Kufuta wafanyakazi wa vyeti feki
- Kuwatumbua wafanyakazi bila kufuata sheria
- Kutopandisha mshahara na madaraja
- Kutotoa ajira kwa wahitimu wa vyuo
- Kuvunja nyumba za Kimara na kuachia za Mwanza
- Kubagua maendeleo majimbo ya wapinzani kama Kilwa
- Kuzuia wanafunzi wenye mimba wasiendelee na masomo
- Kumtimua CAG makini kwa vile kuulizia ufisadi wa Tsh 1.5 Trilion
-Kuua wakosoaji kama BenSaa Nane na Azory Gwanda
- Kutumia vibaya fedha za Serikali kama ujenzi wa kiwanja cha Ndege Chato na mbuga ya Burigi
- Kuwaweka rumande wafanyabiashara kwa makosa ya kubambikiza kama Rugemalira
-Kuwabambikiza makosa wakosoaji kama Kabendera
- Kutunga sheria kandamizi
-Kutawala kwa kidikteta
- Kuvuruga wafanyabiashara kama Yusuf Manji
Kwa hiyo unataka kusema kuwa Kama MTU hana Uteuzi au madaraka yenye nafasi kubwa ya kula hizo kodi kwa mishahara minono ndani na nje ya CCM asimpigie kura ??

Duuuh, sijui chuki kama zile za DC wa Dodoma na Musiba zikipewa miaka mitano tena nchi hii itakuaje?
Kuna watu watakua wanatembea na na vitu vyenye makali kuwakata wale wasiowataka hadharani na kuondoka zao bila hata kuulizwa mbona mnawakatakata wenzenu?

Tumuombe Mungu watakaoingia madarakani wachague watu wenye busara zaidi na utu kuliko . Vijana wapewe madaraka madogo madogo sio madaraka makubwa ya kuwatia watu ndani na kuamrisha vyombo vya dola.

Amani ni tunda la haki.
 
Mambo yamepamba moto, wakti Lissu anazunguka mikoani kutafuta wadhamini, Rais Magufuli anawatuma makada wa CCM kutembeza fomu kimya kimya ili zijazwe na wadhamini katika mikoa husika.

Je, huu ni mkakati wa kumkata Lissu kwa madai kuwa alianza kampeni kabla kuteuliwa na NEC?

Ulishawai kiona wapi Rais anatafuta wadhamini? Wadhanini ndio huwa wanamtafuta Rais
 
Anaogopa aibu,Magu huyu wa 2020 ni tofauti kabisa na Magu wa 2015, Magu huyu wa 2020 bila police na vyombo vingine vya dola kumsaidia wadhamini 200 kila mkoa atawapata wapi? Hakuna wa kujitokeza kwa hiari yake
Hizi bangi za kuvuta baada ya kula ukoko wa mama lishe ni tabu tupu
 
Umejutahidi kujifanya na wewe ni jasiri
Hakuna cha Kuanza kampeni au nini!!

Magufuli baada ya kuchukua fomu ya NEC alikwenda White House Dodoma, akaongea sera zake na akasema Sera zake zijazo!! Uzuri ilirushwa Live na kila mtu aliona, Kwenye page ya Magufuli facebook anapost kila leo, Magufuli tano tena, anapost Picha za miradi zenye hashtag magufuli tano tena. Sasa kama ni kuanza kampeni wote Magufuli na Lissu watakuwa wameanza kampeni na kama kukatwa wanatakiwa wakatwe wote.

Watu tunakusanya ushahidi wa kila kitu alafu tunawaangalia tu NEC.

Wajaribu kumkata Magufuli. Kama wamechoka na amani ya Tanzania waseme tu maana sasa ni baaasi!! Tuko tayari watupige risasi wote waone kama watapona na Mahakama ya Kimataifa
 
Hakuna cha Kuanza kampeni au nini!!

Magufuli baada ya kuchukua fomu ya NEC alikwenda White House Dodoma, akaongea sera zake na akasema Sera zake zijazo!! Uzuri ilirushwa Live na kila mtu aliona, Kwenye page ya Magufuli facebook anapost kila leo, Magufuli tano tena, anapost Picha za miradi zenye hashtag magufuli tano tena. Sasa kama ni kuanza kampeni wote Magufuli na Lissu watakuwa wameanza kampeni na kama kukatwa wanatakiwa wakatwe wote.

Watu tunakusanya ushahidi wa kila kitu alafu tunawaangalia tu NEC.

Wajaribu kumkata Magufuli. Kama wamechoka na amani ya Tanzania waseme tu maana sasa ni baaasi!! Tuko tayari watupige risasi wote waone kama watapona na Mahakama ya Kimataifa
Kapigwe risasi ufe mwenyewe,alafu tuone wakati hiyo mahakama ya kimataifa inafanya kazi, wewe utakuwa unafaidika na nini kaburini.
 
Aibu mwenzie anapata nyomi ya watu yeye hapati, Mpaka afanye maigizo ya ya kununua jogoo ,mahindi ,kahawa ,samaki saa ngapi.
 
Hakuna cha Kuanza kampeni au nini!!

Magufuli baada ya kuchukua fomu ya NEC alikwenda White House Dodoma, akaongea sera zake na akasema Sera zake zijazo!! Uzuri ilirushwa Live na kila mtu aliona, Kwenye page ya Magufuli facebook anapost kila leo, Magufuli tano tena, anapost Picha za miradi zenye hashtag magufuli tano tena. Sasa kama ni kuanza kampeni wote Magufuli na Lissu watakuwa wameanza kampeni na kama kukatwa wanatakiwa wakatwe wote.

Watu tunakusanya ushahidi wa kila kitu alafu tunawaangalia tu NEC.

Wajaribu kumkata Magufuli. Kama wamechoka na amani ya Tanzania waseme tu maana sasa ni baaasi!! Tuko tayari watupige risasi wote waone kama watapona na Mahakama ya Kimataifa
sema uko tayri usinichange mm na kibarskawenu. yaan mtu anatetea wazungu tuu kila hotuba unasem
 
Mambo yamepamba moto, wakti Lissu anazunguka mikoani kutafuta wadhamini, Rais Magufuli anawatuma makada wa CCM kutembeza fomu kimya kimya ili zijazwe na wadhamini katika mikoa husika.

Je, huu ni mkakati wa kumkata Lissu kwa madai kuwa alianza kampeni kabla kuteuliwa na NEC?
Hapana kila mgombea anatumia mbinu na mtandao wake kutafuata wadhamini. Anaye amua kuwafuata huko physically au anatumia mtandao wake mpana ni uamuzi wa kila mmoja na havina uhusiano na kampeni au kupigwa panga na NEC muda muafaka ukifika. Msiogope nyie songeni mbele tu hadi mtakapo kutana na Sheria ya Uchaguzi hapo 26/08/2020. Vinginevyo ALL THE BEST.
 
Mambo yamepamba moto, wakti Lissu anazunguka mikoani kutafuta wadhamini, Rais Magufuli anawatuma makada wa CCM kutembeza fomu kimya kimya ili zijazwe na wadhamini katika mikoa husika.

Je, huu ni mkakati wa kumkata Lissu kwa madai kuwa alianza kampeni kabla kuteuliwa na NEC?
Kwa zile spana za Lisu lazima mzee nati zimemkaza ile mbaya anaona aibu hata kutoka
 
Mambo yamepamba moto, wakti Lissu anazunguka mikoani kutafuta wadhamini, Rais Magufuli anawatuma makada wa CCM kutembeza fomu kimya kimya ili zijazwe na wadhamini katika mikoa husika.

Je, huu ni mkakati wa kumkata Lissu kwa madai kuwa alianza kampeni kabla kuteuliwa na NEC?
Magufuli hanaga kelele, hata 2015 alifanya mambo yake kimyakimya hivyo hivyo.
Yeye mtamsikia kwenye utendaji tuu
 
Bwashee watu wengi wanaoenda kwa Lisu ni akina " Thomaso"......wanakwenda kujiridhisha kama " Ni Yeye " kweli?
CCM wamekuwa dhaifu sana, JPM na genge lake wameona wajikite kwenye UHUNI na UHALIFU tu sasa. Hoja zimewaishia ni kutapatapata tu.
 
Mambo yamepamba moto, wakti Lissu anazunguka mikoani kutafuta wadhamini, Rais Magufuli anawatuma makada wa CCM kutembeza fomu kimya kimya ili zijazwe na wadhamini katika mikoa husika.

Je, huu ni mkakati wa kumkata Lissu kwa madai kuwa alianza kampeni kabla kuteuliwa na NEC?
Wakifanya hivyo utakuwa ni uhuni ..... 2015 wote pamoja na yeye walizunguka kutafuta wadhamini kwa mtindo huo huo.
 
Kuna mtu ameniambia kuanza kampeni kabla ya muda haiko katika orodha ya mambo yanayoweza kuwekewa pingamizi kulingana na sheria za uchaguzi. Hata jiwe kuna mahali nimeona clip yake, naye kumbe alishaanza maana ameuambia umati wasimchague mtu atakaye uza nchi kwa mabeberu. Sisi tutafute tu tufuatilie mtifuano huo.
Season
 
Back
Top Bottom