Je, ni kwanini baadhi ya wagonjwa wa kisukari hukatwa baadhi ya viungo?

mkuu iko hivi.

maranyingi sukari katika mwili wa mtu ambae tunasema ni mgonjwa wa kisukari ikiwa juu kwa muda mrefu huwa inachakaza mwili hasa inaanza katika mishipa ya damu na baadae inachakaza ngozi na ndo maana ukimwangalia mtu mwenye sukari ambayo ameshindwa ama hajaidhibiti kwa muda ngozi huwa na mwonekano tofauti....
Nimeogopa sana ,!! Sukari kumbe ni tatizo
 
mkuu iko hivi.

maranyingi sukari katika mwili wa mtu ambae tunasema ni mgonjwa wa kisukari ikiwa juu kwa muda mrefu huwa inachakaza mwili hasa inaanza katika mishipa ya damu na baadae inachakaza ngozi na ndo maana ukimwangalia mtu mwenye sukari ambayo ameshindwa ama hajaidhibiti kwa muda ngozi huwa na mwonekano tofauti...

Swali langu ni je mgonjwa wa kisukari anapokatwa hiyo sehemu ya mwili si panakuwa tayari ni kidonda kingine, je kuna uwezekano wa hicho kidonda kukua na kusababisha kukatwa tena kwa hicho kiungo.

Mfano: nimekatwa mguu, lkn kile kidonda cha kukatwa mguu kikiendelea kukua mana tayari nna ugonjwa wa kisukari nitarudi hospitali tena kukatwa.?
 
Swali langu ni je mgonjwa wa kisukari anapokatwa hiyo sehemu ya mwili si panakuwa tayari ni kidonda kingine, je kuna uwezekano wa hicho kidonda kukua na kusababisha kukatwa tena kwa hicho kiungo.
Mfano: nimekatwa mguu, lkn kile kidonda cha kukatwa mguu kikiendelea kukua mana tayari nna ugonjwa wa kisukari nitarudi hospitali tena kukatwa.?
Nilivyomuelewa ni kuwa wanakata kiungo ili kupata kidonda kipya ambacho kina uwezekano wa kupona , kisipopona wanakata sehemu ya juu zaidi.

Ni kama atempting chances of survival kuliko kuacha kidonda kioze na kukupa risks hata za kansa
 
Nilivyomuelewa ni kuwa wanakata kiungo ili kupata kidonda kipya ambacho kina uwezekano wa kupona , kisipopona wanakata sehemu ya juu zaidi.
Ni kama atempting chances of survival kuliko kuacha kidonda kioze na kukupa risks hata za kansa
Daah kwahy hapo n sawa na kubet
 
Swali langu ni je mgonjwa wa kisukari anapokatwa hiyo sehemu ya mwili si panakuwa tayari ni kidonda kingine, je kuna uwezekano wa hicho kidonda kukua na kusababisha kukatwa tena kwa hicho kiungo...
Dawa ya mtu Mwenye kidonda cha ugonjwa wa kisukari mimi ninayo. Nikimpa mtu mwenye kidonda cha kisukari anapona kabisa kwa dawa yangu na wala hatakatwa sehemu ya kidonda tena akitumia dawa yangu.

Kwa mwenye kutaka tiba ya kidonda cha kisukari na ugonjwa wenyewe wa kisukari nione kwa wakati wako ili nipate kukutibia upate kupona maradhi yako.
 
Swali langu ni je mgonjwa wa kisukari anapokatwa hiyo sehemu ya mwili si panakuwa tayari ni kidonda kingine, je kuna uwezekano wa hicho kidonda kukua na kusababisha kukatwa tena kwa hicho kiungo.
Mfano: nimekatwa mguu, lkn kile kidonda cha kukatwa mguu kikiendelea kukua mana tayari nna ugonjwa wa kisukari nitarudi hospitali tena kukatwa.?
sehemu ambayo hukatwa huwa maranyingi imeathirika kiasi ambacho baadhi ya madaktari huona si rahisi kupona ama kitapona kwa kukawia, kwahiyo huamua kukata sehemu ambayo haijaathirika zaidi pia uwezekano wa hicho kidonda kipya kupona kinaweza kupona haraka kama mgonjwa ataweza kuzingatia ulaji mzuri ambao utafanya sukari yake iwe chini kwa muda wote wa kuuguza kidonda hicho

, akishindwa kufanya hivyo itabidi atumie dawa ambazo zitafanya sukari iwe chini wakati wote ili kipone haraka, akishindwa kufanya sukari kuwa chini itapelekea kidonda kipya kuchelewa kupona na sehemu hiyo kuanza kuharibika ambako kutamfanya akatwe tena.

Mfano mzuri huwa tunaona kwa baadhi ya wagonjwa ambao hukatwa vidole vyao, baada ya muda baadhi huja kukatwa tena mguu/miguu
 
Nilivyomuelewa ni kuwa wanakata kiungo ili kupata kidonda kipya ambacho kina uwezekano wa kupona , kisipopona wanakata sehemu ya juu zaidi.
Ni kama atempting chances of survival kuliko kuacha kidonda kioze na kukupa risks hata za kansa
umenena vyema
 
Ndio Dawa ya ukimwi na Dawa ya Kisukari na dawa Saratani na maradhi mengine unayo yajuwa ninazo dawa zake. HAKUNA MARADHI YASIYOKUWA NA DAWA YAKE.
Sasa mbona wagonjwa wapo wengi sana mbona hautangazi? Au huko nje unajulikana kwan jina jingine? Maana haya magonjwa kwenye familia kukosekana hata 1 ni bahati sana
 
Sasa mbona wagonjwa wapo wengi sana mbona hautangazi? Au huko nje unajulikana kwan jina jingine? Maana haya magonjwa kwenye familia kukosekana hata 1 ni bahati sana
Nimesha Tangaza sana Facebook nitafute utanipata . Na Wagonjwa ninawatabia na wengi wao wanapona maradhi yao.
 
Back
Top Bottom