Je ni kwa kiasi gani ngono ni muhimu sana kwa wanaume hadi iwe chanzo cha kuanzisha uhusiano seriou

Hongera kwa kua na msimamo
Eti mtu anakuambia nikutumie kwa ngono mwanzon tu halaf kama itatokea mme fall in love ndo mtake things to the next level, huu ni upuuzi wa hali ya juu sijapata ona, kwaio kama haitatokea ame fall in love ndo itakua basi kwamba umetumika for sex only na i bet you atakuambia nime fall kwa mwingine..
there is worth waiting to do sex after marriage, there is worth waiting for right person at the right time na hapa it depends mahusiano yako na Mungu yakoje.
Huyo muache ajibebee hio laana ya kuzini na mzinifu mwenzie ambae ni bibi harusi mtarajiwa kwa mwanaume mwingine.
 
Kwani mwanaume akikuambia anataka uwe f..kmate wake ndo mara moja anataka umpe? Its a game, you need to show your maturity ili kuweza kwenda katika level unayotaka. Sometimes ukitoa bila kuonyesha zaidi hicho ulichoombwa mtu atakuona hufai. Jaribu kuonyesha zaidi ya hicho anachotaka, he will definitely change his mind.
TRUTH...
 
asante, sitaki kuamini kwamba its very unlikely but wapo ila ina`hitaji intervention kuwapata...
It's unlikely, sio rahisi kupata mtu akakuambia ukweli kuwa anataka uwe 'f**k buddy', at least sio utamaduni wetu.
 
habari zenu,

Straight to the point, Wanaume naomba mnisaidie kuelewa jambo moja. leo kuna jamaa nimetoka nae lunch, he was a long time friend so recently tukakutana, aka ni`invite lunch while catching up sababu ni since 2014 nilivyo mpotezeaga kwamba siwezi toka nae sababu he appered as a player na ni dada yake ndiyo alitukutanisha, so dada mtu akanipa tahadhari.

So, leo tukaenda lunch yetu safi kabisa, tukaulizana pale maswali ya salam, umeoa or umeolewa, una watoto wangapi, kwa bahat nzuri or mbaya yeye haoa or mimi kuolewa, wala no kids yet. Akanambia but yeye ana f**kmate ambaye ni dem wa mtu na anatarajia olewa soon.

sasa katika maongezi ananiambia anaomba mimi na yeye tu`hook up! nadhani anataka niwe f**kmate wake:rolleyes:. Hapo hapo jamaa anasema yeye anakuwa muwazi tuu kwangu kwamba kama tukiamua kuanza ku`hit it, na tuka` fall in-lov or kutaka mambo kuwa serious we can take it to another level. Of which i dont need to agree kama sipendi hiyo naman anataka kuanzisha mahusiano.

Hapa ndiyo nashindwaga elewa wanaume, na pia niulize tuu, Je ni kwa kiasi gani kutiana ni muhimu sana kwenu hadi iwe ndiyo ground ya kuanzisha uhusiano serious kama uchumba or ndoa?

Nisaidieni kuelewa nadhani mimi ndiyo mshamba as hii ni mara ya tatu nakutana na mwanaume wa hivi. Na wote inakuwa zero coz siamini kama kuanza na ngono ndiyo msingi bora wa mahusiano, em niambien tuu labda terms and conditions za ku`date ziko updated na new version ni mimi tu ndo sija`update.

Msaada kaka zangu!!!!!!!!!

i present.
Huyo jamaa ndo atakuoa sasa! Mpe fasta saana yani msela amekwambia ukweli kabisaa basi hapo unamuona bonge la shetani,! Sasa watafute watakaokudanganya watakuoa halafu wanakula na kusepa! Kuna mafisi wapo radhi kuvumilia hata mwaka bila show na akiipata anasepa vizuri tuu kipindi hicho ushamtambulisha ukoo mzima!
 
Kuhusu swali lako najibu kama ifuatavyo! Kutiana ndo mpango mzima umesahau ule msemo wa Shake well before use? Sasa nenda kichwakichwa utaolewa na kibamia au ambaye mzigo hausimami kabisaaa sasa hapo sijui utamlaumu nani! Pia tatizo la wanawake wa siku hz imani imepotea unamkazia MTU aliye serious unakuja kumpa fala mwingine ndo maana tunataka show kwanza tujue yaliyomo yamooo? Na kama hayapo tunachoraaaaa , tunasepaaaaaa
 
habari zenu,

Straight to the point, Wanaume naomba mnisaidie kuelewa jambo moja. leo kuna jamaa nimetoka nae lunch, he was a long time friend so recently tukakutana, aka ni`invite lunch while catching up sababu ni since 2014 nilivyo mpotezeaga kwamba siwezi toka nae sababu he appered as a player na ni dada yake ndiyo alitukutanisha, so dada mtu akanipa tahadhari.

So, leo tukaenda lunch yetu safi kabisa, tukaulizana pale maswali ya salam, umeoa or umeolewa, una watoto wangapi, kwa bahat nzuri or mbaya yeye haoa or mimi kuolewa, wala no kids yet. Akanambia but yeye ana f**kmate ambaye ni dem wa mtu na anatarajia olewa soon.

sasa katika maongezi ananiambia anaomba mimi na yeye tu`hook up! nadhani anataka niwe f**kmate wake:rolleyes:. Hapo hapo jamaa anasema yeye anakuwa muwazi tuu kwangu kwamba kama tukiamua kuanza ku`hit it, na tuka` fall in-lov or kutaka mambo kuwa serious we can take it to another level. Of which i dont need to agree kama sipendi hiyo naman anataka kuanzisha mahusiano.

Hapa ndiyo nashindwaga elewa wanaume, na pia niulize tuu, Je ni kwa kiasi gani kutiana ni muhimu sana kwenu hadi iwe ndiyo ground ya kuanzisha uhusiano serious kama uchumba or ndoa?

Nisaidieni kuelewa nadhani mimi ndiyo mshamba as hii ni mara ya tatu nakutana na mwanaume wa hivi. Na wote inakuwa zero coz siamini kama kuanza na ngono ndiyo msingi bora wa mahusiano, em niambien tuu labda terms and conditions za ku`date ziko updated na new version ni mimi tu ndo sija`update.

Msaada kaka zangu!!!!!!!!!

i present.
Alivyoanza tu kuchanganya changanya lugha nika ahirisha kusoma uzi wako unafikir ni ufahari kumbe ujinga
 
sijakataa kwamba ako wazi ila, ndiyo nataka nielewe toka kwa nyie wanaume, kwamb ahii ndiyo hali halisi ama vepee... coz mhh?
Ndiyo hali halisi. Au we unataka kuwe na ihalisia mwingine. Ni ww tu umkubalie au umkatalie ila hakuna la ajabu wala la kushangaza hapo.
 
sijakataa kwamba ako wazi ila, ndiyo nataka nielewe toka kwa nyie wanaume, kwamb ahii ndiyo hali halisi ama vepee... coz mhh?
Hapo hakuna jipya wala geni. Ni hali halisi ya mfumo wa maisha (mahusiano) kwa sasa. Hapa ni juu yako mwenyewe kumkubalia hasa ukizingatia kwamba wote mpo single na hamjawahi pata kids kokote...wekeni mipango na matarajio yenu pamoja halafu mnapeana tu.
 
Smart911 sweetheart msaada puliiiiiiiiiiiiiiizzzzzz nimepita juu juu tu
Ni kwamba.. Mtoa mada ana nyota ya ngono... Kila anayekutana nae anataka ngono alafu baadae ndiyo waanzishe serious relationship...

Inasikitisha sana... Kila anayempata hana mapenzi ya kweli kwako, anamchukulia yeye kama sex machine tu...
 
Ni kwamba.. Mtoa mada ana nyota ya ngono... Kila anayekutana nae anataka ngono alafu baadae ndiyo waanzishe serious relationship...

Inasikitisha sana... Kila anayempata hana mapenzi ya kweli kwako, anamchukulia yeye kama sex machine tu...

Tihitihitihtihihihiiii mwambie hakuna namna hapo ndo kaumbwa mwanamke hivooo hizo ni baadhi tu ya changamoto... .ila

Nakupenda sana Smart911 jembee langu
 
Wat men need for a woman
1 good Sex
Hapa nahisi unaninelewa maana ya gud viuno kama panga boy na makolombezo mengne

2 loyalty
Mtu muaminifu sio msaliti hapa lazma uhusiano udumu

3 Support
Hapa namaanisha yule msichana ambae yuko bega kwa bega na bwana ake inaeza kua kimawazo au hata physically kama inawezekana
Umetoka kazin mambo hayaend fresh una mke lkn huna wa kumuelezea stress zako my dear hapa lazma ufa utokee kwenye mahusiano

Men are very simple hivo tu vitatu lazma awe wako milele
 
Back
Top Bottom