Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 51,985
- 69,372
usijiunge halichachi lakinisawa kabisaa.. wacha niagize vocha ninunue bundle mie.. doooh
usijiunge halichachi lakinisawa kabisaa.. wacha niagize vocha ninunue bundle mie.. doooh
Kutiana ndio habari ya mjinina pia niulize tuu, Je ni kwa kiasi gani kutiana ni muhimu sana kwenu hadi iwe ndiyo ground ya kuanzisha uhusiano serious kama uchumba or ndoa. kwa kifupi, swali ndiyo hilo
hahah sawa, but hakuna ushauri ulioombwa hapo, ni swali linalo hitaji jibu tuu my friend.
asantee.. sasa napata picha kwa kweli..Wanaume wengi wako hivyo ni vile wengi wao hawapendi kusema hivyo ili wasionekane malayazz au players;sasa ww madam ni kama umepata luck flan hivi ya kuambiwa ukweli bila kumung'unyiwa maneno so ni juu yako ww kunyongwa au kuzikwa hai.
hujaombwa ushauri, ni swali nimeuliza,so unaweza jibu tuu ama huna jibu..unaliacha blank..
Kama wapo waliokula mzigo na wakaishia tatizo lipo wapi sio mahusiano yote yanaishia kwny ndoaElewa swali kakangu, kama halijaeleweka kwako unaeza pita tuuuu..
Baby M nikuambie kwamba ni kawaida yetu sisi kuonja asali kabla ya kuchonga mzinga, je wewe una feelings zozote kwa huyo anaetaka kuwa https://jamii.app/JFUserGuide mate wako? kama unazo endelea kuwa nae karibu bila kumpa tunda BUT jua kwamba usipompa ataendelea ku https://jamii.app/JFUserGuide na yule aliyekwambia anaye mpaka siku ile ambayo utaamua sasa na wewe ku https://jamii.app/JFUserGuide https://jamii.app/JFUserGuide naye. Ni hayo tu Baby M.na pia niulize tuu, Je ni kwa kiasi gani kutiana ni muhimu sana kwenu hadi iwe ndiyo ground ya kuanzisha uhusiano serious kama uchumba or ndoa. kwa kifupi, swali ndiyo hilo