mngony
JF-Expert Member
- Jul 27, 2012
- 5,193
- 6,381
Baada ya CIA kutoa ripoti yao kuhusu ushiriki na ushawishi wa Urusi katika uchaguzi wa Marekani, Rais Obama alisema ni lazima Marekani itachukua hatua dhidi ya Urusi katika namna wao watakavyoamua.
Je haya yanayotokea Urusi ni sehemu ya hatua hizo au ni matukio tu yametokea kukaribiana kwa pamoja.
Ndani ya masaa 24, yametokea matukio matatu ya kuihuzunisha Urusi.
1.Ndege ya Wizara ya mambo ya ndani ilindondoka na kuuwa watu takriban 27, japo ripoti baadae zilibadili idadi ya vifo huko Siberia
2. Raia takribani 50 wa wamefariki baada ya kilevi/pombe kuwekewa methanol ndani yake huko Siberia
3. Kuuawa kwa Balozi wa Urusi nchini uturuki, tena mda mchache kabla hawajakutana na kwa pamoja Uturuki, Iran na Urusi kuzungumza kuhusu Syria. Ukiangalia hawa wanamsapoti Assad kwa maslahi ya nchi yao hasa Urusi.
Ni Conspiracy au Coincidence?
Je haya yanayotokea Urusi ni sehemu ya hatua hizo au ni matukio tu yametokea kukaribiana kwa pamoja.
Ndani ya masaa 24, yametokea matukio matatu ya kuihuzunisha Urusi.
1.Ndege ya Wizara ya mambo ya ndani ilindondoka na kuuwa watu takriban 27, japo ripoti baadae zilibadili idadi ya vifo huko Siberia
2. Raia takribani 50 wa wamefariki baada ya kilevi/pombe kuwekewa methanol ndani yake huko Siberia
3. Kuuawa kwa Balozi wa Urusi nchini uturuki, tena mda mchache kabla hawajakutana na kwa pamoja Uturuki, Iran na Urusi kuzungumza kuhusu Syria. Ukiangalia hawa wanamsapoti Assad kwa maslahi ya nchi yao hasa Urusi.
Ni Conspiracy au Coincidence?