BSL
Member
- Dec 15, 2018
- 86
- 98
Sababu kubwa inayokufanya mwanaume uoe ni ipo kati ya hizi:
1. Kupata watoto
2. Kusaidiwa kupika na kufua
3. Kupata jigijigi kila unapo taka
4. Kuondoa upweke ndani ya nyumba
Nimeona nilete hoja hii ili nione kama kuna ulazima wa kuoa maana wanaume siku hizi wanateswa sana na wanawake kwa kakosa uaminifu.
1. Kupata watoto
2. Kusaidiwa kupika na kufua
3. Kupata jigijigi kila unapo taka
4. Kuondoa upweke ndani ya nyumba
Nimeona nilete hoja hii ili nione kama kuna ulazima wa kuoa maana wanaume siku hizi wanateswa sana na wanawake kwa kakosa uaminifu.