Hata kama Lema ana matatizo yake lakini udharirishaji huu wa polisi kwa mbunge halali aliyechanguliwa na wananchi
wengi si cha kiungwana. Naungana na Mh. Lema kokote aliko kupinga hali hii ya polisi kutumiwa na CCM.
Sheria ipi? Unatii Sheria sahihi,sio sheria iliyopindishwaHii ilikuwa ni baada au Kabla SAID MWEMA hajatoa semina kuhusu UTII BILA SHURUTI? huyu Lema kumbe ni kichaa. Nini udhalilishaji wa Polisi hao? si Lema alitakiwa tu kutii sheria?
Quinine, the Law is the Law and applies to all equally, hutaki kudhalilishwa 'OBEY it'. Ukiwa Mbunge unatarajiwa kuwa Model katika kufuata sheria hutarajiwi kuvunja sheria kwa matarajio ya kuhurumiwa kwa nafasi ya Ubunge.
Quinine, the Law is the Law and applies to all equally....
$iku zote wana mapinduz wanapitia vikwazo ving sana na hki ni kimojawapo, wachangiaj mnaotetea hli najua ni uelewa mdogo tu ila tambua hakuna askar anaepaswa na yeye kuvunja sheria kwa kupiga au kujeruh huo ni upuuz na hatutafunga mdomo kwa kuogopa milio ya risasi
je ni kweli aliandamana?watu wengi wanapoenda sehemu moja ni kuandamana?mbona hawazuii pale mwenge kwa Kakobe?sokoni Kariakoo?Quinine, the Law is the Law and applies to all equally, hutaki kudhalilishwa 'OBEY it'. Ukiwa Mbunge unatarajiwa kuwa Model katika kufuata sheria hutarajiwi kuvunja sheria kwa matarajio ya kuhurumiwa kwa nafasi ya Ubunge.
Quinine, the Law is the Law and applies to all equally, hutaki kudhalilishwa 'OBEY it'. Ukiwa Mbunge unatarajiwa kuwa Model katika kufuata sheria hutarajiwi kuvunja sheria kwa matarajio ya kuhurumiwa kwa nafasi ya Ubunge.
Quinine, the Law is the Law and applies to all equally, hutaki kudhalilishwa 'OBEY it'. Ukiwa Mbunge unatarajiwa kuwa Model katika kufuata sheria hutarajiwi kuvunja sheria kwa matarajio ya kuhurumiwa kwa nafasi ya Ubunge.
Sheria ipi? Unatii Sheria sahihi,sio sheria iliyopindishwa
Kwa Tz haipo kabisa.Tii sheria bila kushurutishwa.