Je, ni halali kwa Mwalimu Kununua "Schemes of Works" !!??

residentura

JF-Expert Member
Mar 1, 2017
7,020
9,609
Habari ndugu wana JF.
Weekend iliyopita nilibahatika kuwepo huko Mkuranga - Pwani.
Nikikutana na nyumba ndogo yangu ambayo ni mwalimu huko Halmashauri ya Mkuranga.

Kitu kilichonistaajabisha mpaka kufikia uamuzi wa kuuliza hii kitu hapa jukwaani, ni baada ya jana Jumatano asubuhi (11/01/2023) kuona mjadala kuhusu mapendekezo ya uboreshaji wa CBC (Competency - Based Curriculum) katika Citizen TV, huko Kenya.

Mjadala huo ukanikumbusha jambo la ajabu nililolishuhudia kwa walimu wetu wa hapa Tanzania - huko Mkuranga.
Mwalimu ananunua "schemes of works" na vitu vingine ambavyo vimeshaandaliwa na ambavyo alitakiwa aviandae yeye na kuviwakilisha kwa viongozi wake.
Nilimuuliza huyo mwalimu kuwa hiyo ni kawaida,akanijibu kuwa ni kawaida na hata wakuu wanajua hiyo.

Naomba niulize humu maana kuna wajuvi na viongozi wa kila sekta humu Jamii Forum.

Hivi haya maandalizi ya masomo/ au hizi kazi mwalimu anazotakiwa kuzifanya yeye binafsi ni sahihi wanavyofanya hivi kuzinunua!!??

Kwa mtindo huu hawa walimu kweli ni "competency - based teachers" ambao wanaweza kuzalisha wanafunzi walio bora!!?
 
Hayo maazimio hayandaliwi mitaani wanaoaandaa ni walimu ambao wanatumia muhtasari,miongozo, na vitabu husika vya kiada kuandaa. Naamini pia kabla Mwalimu hajatoa fedha yake kununua hujiridhisha kwa kupitia azimio hilo kabla ya kununua kuona kama linakidhi. Sioni sababu ya kuwakomoa walimu kurudi enzi za ujima kujipinda eti kuandika maazimio ya masomo zaidi ya 10 anayo fundisha . Hii sio sawa!!!!


Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Habari ndugu wana JF.
Weekend iliyopita nilibahatika kuwepo huko Mkuranga - Pwani.
Nikikutana na nyumba ndogo yangu ambayo ni mwalimu huko Halmashauri ya Mkuranga.

Kitu kilichonistaajabisha mpaka kufikia uamuzi wa kuuliza hii kitu hapa jukwaani, ni baada ya jana Jumatano asubuhi (11/01/2023) kuona mjadala kuhusu mapendekezo ya uboreshaji wa CBC (Competency - Based Curriculum) katika Citizen TV, huko Kenya.

Mjadala huo ukanikumbusha jambo la ajabu nililolishuhudia kwa walimu wetu wa hapa Tanzania - huko Mkuranga.
Mwalimu ananunua "schemes of works" na vitu vingine ambavyo vimeshaandaliwa na ambavyo alitakiwa aviandae yeye na kuviwakilisha kwa viongozi wake.
Nilimuuliza huyo mwalimu kuwa hiyo ni kawaida,akanijibu kuwa ni kawaida na hata wakuu wanajua hiyo.

Naomba niulize humu maana kuna wajuvi na viongozi wa kila sekta humu Jamii Forum.

Hivi haya maandalizi ya masomo/ au hizi kazi mwalimu anazotakiwa kuzifanya yeye binafsi ni sahihi wanavyofanya hivi kuzinunua!!??

Kwa mtindo huu hawa walimu kweli ni "competency - based teachers" ambao wanaweza kuzalisha wanafunzi walio bora!!?
Kama vitabu na miongozo vinaandaliwa na watu wengine hata hizo scheme of work si vibaya zikiandaliwa. Inampungumzia mwalimu majukumu.

Isitoshe walimu wengi kwa asilimia kubwa, kutokana na mabadiliko ya mtaala pasipo mafunzo; wanafundisha mambo ambayo hata wao hawana ujuzi nayo au pengine wasingependa kuyafundisha!

Mfano kuna somo la stadi za kazi drs la 7, kutokana na mabadiliko ya mtaala mwalimu anafundisha wanafunzi namna ya kunyoa nywele zinazoota sehemu mbalimbali za mwili ikiwa ni pamoja na sehemu za siri. Mambo amabyo yalipaswa kuelekezwa na mzazi au kwenye jando na unyago! Ila sasa yanafundishwa darasani kutokana na mabadiliko ya sayansi na teknolojia. Wazazi wengi wako busy!
 
Habari ndugu wana JF.
Weekend iliyopita nilibahatika kuwepo huko Mkuranga - Pwani.
Nikikutana na nyumba ndogo yangu ambayo ni mwalimu huko Halmashauri ya Mkuranga.

Kitu kilichonistaajabisha mpaka kufikia uamuzi wa kuuliza hii kitu hapa jukwaani, ni baada ya jana Jumatano asubuhi (11/01/2023) kuona mjadala kuhusu mapendekezo ya uboreshaji wa CBC (Competency - Based Curriculum) katika Citizen TV, huko Kenya.

Mjadala huo ukanikumbusha jambo la ajabu nililolishuhudia kwa walimu wetu wa hapa Tanzania - huko Mkuranga.
Mwalimu ananunua "schemes of works" na vitu vingine ambavyo vimeshaandaliwa na ambavyo alitakiwa aviandae yeye na kuviwakilisha kwa viongozi wake.
Nilimuuliza huyo mwalimu kuwa hiyo ni kawaida,akanijibu kuwa ni kawaida na hata wakuu wanajua hiyo.

Naomba niulize humu maana kuna wajuvi na viongozi wa kila sekta humu Jamii Forum.

Hivi haya maandalizi ya masomo/ au hizi kazi mwalimu anazotakiwa kuzifanya yeye binafsi ni sahihi wanavyofanya hivi kuzinunua!!??

Kwa mtindo huu hawa walimu kweli ni "competency - based teachers" ambao wanaweza kuzalisha wanafunzi walio bora!!?
Hiyo scheme ni sawa na OPRAS tu... Sasa mwalimu wa history wa mkuranga anafundisha topics tofauti na wa Kilindi!!??
 
Mwalimu ni kama mpishi.
Akiandaliwa viamva upishi kwa usahihi na kupewa maelezo, chakula kitapikwa tu.
Mbona vitabu vinaandaliwa na watu wengine?
kufundisha sio kama kuelekeza mtu mahali kufundisha ni taaluma ndio kwa sababu hii tunao wasomi waliokaririshwa tu koz mwalimu naye kadesa sehemu
 
Tuseme tu doc kama scheme of work na lesson plan mwalimu unataliwa kuandaa koz kuna details unafeed sasa namna ya mifano au teaching aid kama hazipo relavant na ww ulipo unafundisha nn
 
Habari ndugu wana JF.
Weekend iliyopita nilibahatika kuwepo huko Mkuranga - Pwani.
Nikikutana na nyumba ndogo yangu ambayo ni mwalimu huko Halmashauri ya Mkuranga.

Kitu kilichonistaajabisha mpaka kufikia uamuzi wa kuuliza hii kitu hapa jukwaani, ni baada ya jana Jumatano asubuhi (11/01/2023) kuona mjadala kuhusu mapendekezo ya uboreshaji wa CBC (Competency - Based Curriculum) katika Citizen TV, huko Kenya.

Mjadala huo ukanikumbusha jambo la ajabu nililolishuhudia kwa walimu wetu wa hapa Tanzania - huko Mkuranga.
Mwalimu ananunua "schemes of works" na vitu vingine ambavyo vimeshaandaliwa na ambavyo alitakiwa aviandae yeye na kuviwakilisha kwa viongozi wake.
Nilimuuliza huyo mwalimu kuwa hiyo ni kawaida,akanijibu kuwa ni kawaida na hata wakuu wanajua hiyo.

Naomba niulize humu maana kuna wajuvi na viongozi wa kila sekta humu Jamii Forum.

Hivi haya maandalizi ya masomo/ au hizi kazi mwalimu anazotakiwa kuzifanya yeye binafsi ni sahihi wanavyofanya hivi kuzinunua!!??

Kwa mtindo huu hawa walimu kweli ni "competency - based teachers" ambao wanaweza kuzalisha wanafunzi walio bora!!?
We nawe umezidi kimouth mouth

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Haya madude ni kusumbuana tu hakuna mwalimu ambaye anayatumia, huwa ni fomalities tu ili ziwepo document za wakaguzi. Mm huwa siandai hata kidogo nikisikia kuna wakaguzi huwa sipo zishaandaliwa nabadili mwaka namprint
 
Habari ndugu wana JF.
Weekend iliyopita nilibahatika kuwepo huko Mkuranga - Pwani.
Nikikutana na nyumba ndogo yangu ambayo ni mwalimu huko Halmashauri ya Mkuranga.

Kitu kilichonistaajabisha mpaka kufikia uamuzi wa kuuliza hii kitu hapa jukwaani, ni baada ya jana Jumatano asubuhi (11/01/2023) kuona mjadala kuhusu mapendekezo ya uboreshaji wa CBC (Competency - Based Curriculum) katika Citizen TV, huko Kenya.

Mjadala huo ukanikumbusha jambo la ajabu nililolishuhudia kwa walimu wetu wa hapa Tanzania - huko Mkuranga.
Mwalimu ananunua "schemes of works" na vitu vingine ambavyo vimeshaandaliwa na ambavyo alitakiwa aviandae yeye na kuviwakilisha kwa viongozi wake.
Nilimuuliza huyo mwalimu kuwa hiyo ni kawaida,akanijibu kuwa ni kawaida na hata wakuu wanajua hiyo.

Naomba niulize humu maana kuna wajuvi na viongozi wa kila sekta humu Jamii Forum.

Hivi haya maandalizi ya masomo/ au hizi kazi mwalimu anazotakiwa kuzifanya yeye binafsi ni sahihi wanavyofanya hivi kuzinunua!!??

Kwa mtindo huu hawa walimu kweli ni "competency - based teachers" ambao wanaweza kuzalisha wanafunzi walio bora!!?
Mshahara shilling ngapi kwanza?
 
Back
Top Bottom