karandarugo
Member
- Apr 23, 2015
- 39
- 7
hv hii ni haki kwa mlinzi anayefanya kaz ya ulinz kwa masaa 12 kulipwa sh elfu 60 kwa mwezi? mwnye kujua sheria juu ya hili naomba atufahamishe
inategemea mkataba wake na kiongozi wake.
sawa mkuu,lakin pale ofisi kwao hawapewi mikataba kw7bu wanahofu ya kwmba wakitaka kumdhurumu mlinz asiende kwnye vyombo vya sheria kushitaki hiyo kampuni
hiyo pesa ni unyonyaji mkubwa na ndio maana walinzi wengi wanakuwa rahisi kushawishiwa hatari kubwa hipo kwa client