Taarifa hazitoshelezi. Huyo mjamzito ana masharti yepi ya ajira? Mara ya mwisho alipewa lini maternity leave? Ameruhusiwa kukaa nyumbani kwa sababu ya ugonjwa au alijiruhusu mwenyewe?
Mwajiriwa hajawahi kuchua maternity leave,hii ni mimba ya kwanza
Mjamzito amepewa bed rest kuanzia mwanzo wa ujauzito kulingana na masharti ya daktari,alilazwa kabisa baadae akaruhusiwa kurudi nyumbani lakini asiende kazini miezi yote tisa
Ana mwaka kazini,alikuwa akipelewa vyeti ya daktari vyote kazini kuonyesha anatakiwa kupumzika
Anafanya taasisi binafsi
Mjamzito amepewa bed rest kuanzia mwanzo wa ujauzito kulingana na masharti ya daktari,alilazwa kabisa baadae akaruhusiwa kurudi nyumbani lakini asiende kazini miezi yote tisa
Ni kweli sheria hii inamruhusu mtumishi kulipwa mshahara wake wote iwapo ataugua kwa muda wa siku 63 baada ya hapo ni nusu mshahara .Baada ya miezi sita atamuondoa kazini kabisa.Hii ina apply kote kwa makampuni binafsi na hata serikalini.View attachment 40245Duh, kama kweli anaumwa nampatia pole, lkn kama anachukulia mimba kama kigezo cha ku-dodge kazini kwa kuwahonga hao wanapjiita ma"Dr." ujue anajiharibia - hakuna mwajiri anayependa mtumishi mvivu. Wanaweza kutafuta kila njia il wamwachishe kazi hata kwa kumtega ili afanye kosa then wale kichwa kisheria! Awe makini.Kisheriawanaweza kuwa sahihi au wanakosea wanapomkata salary, inategemea HPI (history of presenting illness) yake! Ah, sorry, nilifikiri niko hospitali nam-attend mgonjwa! I meant inategemea na undani wa case yake (details zaidi zinatakiwa kuweza kumshauri).Refer: Employment and Labour Relations Act, 2004; Part III (Employment Standards); Sub-part D (Leave);Section 32 (Sick Leave) and 33 (Maternity Leave.Mimi naona wako sahihi kama amekaa nyumbani kwa siku 63 za mwanzo ambazo mwajiri amemlipa 100% ya salary, akaongeza tena siku zingine (0-63 days = 126 in total) mwajiri amemlipa 50% ya monthly salary, provided kwamba hizo 0-63 days za pili hazigusi commencement ya maternity leave. Ambapo maternity leave ni 84 days. Akiendelea kuleta uzembe (kama anachezea ajira, WATAPIGA CHINI!). Someni sheria. Wanasheria watasaidia zaidi. I am not a lawyer, though I am among the BIG THREE in the world, (DOCTORS, Lawyers and Clergy)
Ni kweli sheria hii inamruhusu mtumishi kulipwa mshahara wake wote iwapo ataugua kwa muda wa siku 63 baada ya hapo ni nusu mshahara .Baada ya miezi sita atamuondoa kazini kabisa.Hii ina apply kote kwa makampuni binafsi na hata serikalini.