Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,192
- 3,353
Kuna dogo hapa alikuwa anacheki ajira kamaliza degree akanifowadia screeenshot ya tangazo la ajira nijionee Tz ya vi-wonder,
Kuna ajira za Serikali sikuhizi wanahitaji diploma tu bila kujali kuna waliofaulu kidato cha nne na kuwa na uwezo wa kwenda kidato cha tano na kupata degree vyuoni, Je hii ni haki?
Kuna ajira za Serikali sikuhizi wanahitaji diploma tu bila kujali kuna waliofaulu kidato cha nne na kuwa na uwezo wa kwenda kidato cha tano na kupata degree vyuoni, Je hii ni haki?