Je, ni chuo gani kizuri cha masuala ya uhandisi (Engineering) na teknolojia (Technology) Tanzania?

Mechatronics

Member
Nov 26, 2016
35
27
Kwa muda mrefu sana wanafunzi wanaosoma University of Dar es salaam (UDSM) wamekuwa wakiona chuo chao ni kama TOP in TZ.
Lakini mimi naomba tuangazie anga za uhandisi hasa hasa pekee, je UDSM wapo vizuri kwenye hii sector.?
Maana sijawahi kuona au kuwasikia hata siku moja labda wamechukua tuzo ya project bora zaidi ya porojo nyingi.
Kiukweli ukitaka vyuo vya uhandisi Tanzania basi ni hivi vifuatavyo,

1: St. Joseph university in Tanzania.( College of engineering and technology) Elimu inayotolewa hapa ni hatari japokuwa ada yake sio rafiki kidogo kwa watanzania.
2: Dar es salaam institute of technology (DIT)
3: Mbeya university of science and technology (MUST)
4: NIT
5: Arusha Tec. (ATC)

Hivi ndio TOP universities/ instituties/ college za uhandisi bora Tanzania.
Anaebisha aje na data.

Mechatronics
 
Engineering ni wide mkuu, we unaongelea uhandisi wa nn??

Mfano uhandisi wa kilimo hamna chuo kinaifikia sua!!

Alafu kwann mnabishania vyuo? Mkimaliza jua hamna mtu ataangalia umesoma wapi!!

Usije kua unajiita injinia wa chuo flan wakati kichwan hamna kitu!!
 
Kwa muda mrefu sana wanafunzi wanaosoma University of Dar es salaam (UDSM) wamekuwa wakiona chuo chao ni kama TOP in TZ.
Lakini mimi naomba tuangazie anga za uhandisi hasa hasa pekee, je UDSM wapo vizuri kwenye hii sector.?
Maana sijawahi kuona au kuwasikia hata siku moja labda wamechukua tuzo ya project bora zaidi ya porojo nyingi.
Kiukweli ukitaka vyuo vya uhandisi Tanzania basi ni hivi vifuatavyo,

1: St. Joseph university in Tanzania.( College of engineering and technology) Elimu inayotolewa hapa ni hatari japokuwa ada yake sio rafiki kidogo kwa watanzania.
2: Dar es salaam institute of technology (DIT)
3: Mbeya university of science and technology (MUST)
4: NIT

Hivi ndio TOP universities/ instituties/ college za uhandisi bora Tanzania.
Anaebisha aje na data.

Mechatronics
Anaebisha aje na data? Za nini? Mbona wewe hukuja na data zaidi ya feelings?
 
Mbona kwenye bandiko lako hamna data mkuu sasa wadau watawekaje data ilihali wewe hujaweka data?
 
Kwa muda mrefu sana wanafunzi wanaosoma University of Dar es salaam (UDSM) wamekuwa wakiona chuo chao ni kama TOP in TZ.
Lakini mimi naomba tuangazie anga za uhandisi hasa hasa pekee, je UDSM wapo vizuri kwenye hii sector.?
Maana sijawahi kuona au kuwasikia hata siku moja labda wamechukua tuzo ya project bora zaidi ya porojo nyingi.
Kiukweli ukitaka vyuo vya uhandisi Tanzania basi ni hivi vifuatavyo,

1: St. Joseph university in Tanzania.( College of engineering and technology) Elimu inayotolewa hapa ni hatari japokuwa ada yake sio rafiki kidogo kwa watanzania.
2: Dar es salaam institute of technology (DIT)
3: Mbeya university of science and technology (MUST)
4: NIT

Hivi ndio TOP universities/ instituties/ college za uhandisi bora Tanzania.
Anaebisha aje na data.

Mechatronics
Arusha technical college ndo kiboko yao
 
Mbona kwenye bandiko lako hamna data mkuu sasa wadau watawekaje data ilihali wewe hujaweka data?
Kwa muda mrefu sana wanafunzi wanaosoma University of Dar es salaam (UDSM) wamekuwa wakiona chuo chao ni kama TOP in TZ.
Lakini mimi naomba tuangazie anga za uhandisi hasa hasa pekee, je UDSM wapo vizuri kwenye hii sector.?
Maana sijawahi kuona au kuwasikia hata siku moja labda wamechukua tuzo ya project bora zaidi ya porojo nyingi.
Kiukweli ukitaka vyuo vya uhandisi Tanzania basi ni hivi vifuatavyo,

1: St. Joseph university in Tanzania.( College of engineering and technology) Elimu inayotolewa hapa ni hatari japokuwa ada yake sio rafiki kidogo kwa watanzania.
2: Dar es salaam institute of technology (DIT)
3: Mbeya university of science and technology (MUST)
4: NIT
5: Arusha Tec. (ATC)

Hivi ndio TOP universities/ instituties/ college za uhandisi bora Tanzania.
Anaebisha aje na data.

Mechatronics
Hata sua mkuu wapo vizuri Sana
 
Kwa muda mrefu sana wanafunzi wanaosoma University of Dar es salaam (UDSM) wamekuwa wakiona chuo chao ni kama TOP in TZ.
Lakini mimi naomba tuangazie anga za uhandisi hasa hasa pekee, je UDSM wapo vizuri kwenye hii sector.?
Maana sijawahi kuona au kuwasikia hata siku moja labda wamechukua tuzo ya project bora zaidi ya porojo nyingi.
Kiukweli ukitaka vyuo vya uhandisi Tanzania basi ni hivi vifuatavyo,

1: St. Joseph university in Tanzania.( College of engineering and technology) Elimu inayotolewa hapa ni hatari japokuwa ada yake sio rafiki kidogo kwa watanzania.
2: Dar es salaam institute of technology (DIT)
3: Mbeya university of science and technology (MUST)
4: NIT
5: Arusha Tec. (ATC)

Hivi ndio TOP universities/ instituties/ college za uhandisi bora Tanzania.
Anaebisha aje na data.

Mechatronics
umeuliza swali na kujijibu mwenyewe. Hayo mapungufu uliotaja UDSM je hivyo vyuo vingine vimekava? CoET ina nyenzo na walimu wazuri wengi kushinda vyuo vingine vyote vya uhandisi. Kinachotusumbua wabongo ni mediocrity, ukitoka Milambo Secondary ukapelekwa DIT unahisi hakuna chuo bora zaidi ya DIT wakati chaguo lako la kwanza lilikua CoET. UDSM tuilaumu tu kushindwa kututoa kwenye umasikini ila sio kulinganisha sijui na MUST ambayo mkuu wa idara ana PGDiploma ya UDSM.
 
Haya mambo ya kujisifia kuwa mm chuo flan mm sijui chuo gani nimesoma huwa ni ya kianafunzi tuu pindi utakapo ingia direct kwenye field yako ndo utaelewa kama unaimudu fani yako au fani yako inakumudu
 
Back
Top Bottom