Je ni busara kwa mpenzi wako kukwambia pindi atongozwapo? Utachukua hatua gani?

mapenzi hayana formular kinachofanya kazi kwa mwingine sio lazima na kwa mwingine kiwe sahihi.
 
Uzoefu nilio nao ni kwamba, ukiona unapewa taarifa, fahamu kwamba hapo muafaka haujafikiwa na pale muafaka utakapofikiwa hutaambiwa hata siku moja. Utapewa taarifa mara moja au mara mbili kwamba fulani ananisumbua sana. Baada ya hapo ukiona kimya, ujue muafaka ulishafikiwa na tayari mtu wako ameanza kumegwa. Ukiuliza utaambiwa "kwamba siku hizi alishaacha kunisumbua".
 
hivi mwanamke akishakuwa na mpenzi/mume basi uwanauke wake unapungua? au mwanamke akiolewa au kuwa na mpnzi maanake kuwa hakuna mtu mwingine anaweza kumtamani...lets be realistik here ukioa au kuolewa hammanishi kuwa feelings zako zimekufuka, wala hamaanishi hutatamani mtu mwingine maishani, kama kuna mtu anaingia na hiyo dhana kwenye ndoa anajidanganya...but unamkubali mtu kuwa mpenzi wako/mume/mke unaweka nadhari ya kushinda tamaa zako kwamba ikitokea umetamani au umetamaniwa ukumbuke kuwa wewe kwa utashi wako umeamua kuwa na mtu mmoja...kwa mtazamo huo binafsi sioni sababu ya kutomwambia mwenzio/mpnzi kama umetongozwa, coz huwezi kuzuia mtu mwingine kukutamani, na ukiona mtu anapaniki kisa umemwambia umetongozwa ujue huyo dhaifu, hajiamini,anajiweka yeye kwenye hiyo nafasi na anajua kwa upande wake lazima atashindwa kuiepa hiyo tamaa so anaamini na wewe mtoa taarifa utashindwa kuiepa as well.
ukweli ni kuwa hakuna mwanamke asiyetongozwa awe ameolewa au hajaolewa , either atakuambia au hakuambii lakini huo ndio ukweli.
 
Ni muhimu aseme hasa kwa wale wenye kuishi mazingira ya kufanana kama kazini au mtaa mmoja,mwanamke asipokuambia ujue atamtafutia nafasi kummegea huyo jamaa.wanawake wana roho mbili.
<br />
<br /
Aah! Kuna mengi ya kujifunza kwenye hii thread,kumbe wanawake wana roho mbili.
 
Akae kimya na adili nao kwa hekima huku akijua yupo kwenye mahusiano. Ila ikitokea mtongozaji anaanza kuvuka mipaka kama kutisha kumdhuru au dalili za blackmail, mwanamama anaweza omba msaada ili muhusika achukuliwe hatua stahiki.
 
Akikataa anamwambia mpenzi wake; wale anaowakubalia nao anamwambia mpenzi wake? Kwanza kabisa kwa mke wa mtu kutongozwa na mtu ambaye anafahamu kuwa ni mke wa mtu ni dharau iliyovuka mipaka. Kabla ya kufikia hatua ya kumweleza mwenzi wake huyo mwanamke ajitafakari sana huyo aliyemtongoza anamwonaje wakati anajua ni mke wa mtu; akishapata jibu abadili tabia yake. Mazoea yanayopitiliza ndiyo yanayofikia kutongozwa mfano kupenda kuomba omba "Lunch, vitafunwa, soda, maji nk"

Mkuu hapo umenena,, Mzee mmoja alituambia siku mmoja kijiweni......Mkeo akikwambia Fulani kanitongoza, wewe muulize, JE UNGEMPA UNGENIELEZA!!!!, Haya maneno ya mzee mpaka leo na tafakari!!
 
Mimi naona tatizo sio kuambiwa, je wewe kama mwanaume unapata faida gani kujua mke wako ametongozwa na fulani???!! Mimi naona hapa ni kujiongezea tu maadui, maana watongozaji wengine ni marafiki zake! Bora tu kukaa kimya.....kuepusha taabu nyingine.
<br />
<br />
Karen hapa umenena vyema ndugu yangu, niwazapo kuhusu suala la faida naona hasara ndio nyingi, thats why siafiki mambo haya, kwangu si busara kabisa!
 
Mkuu hapo umenena,, Mzee mmoja alituambia siku mmoja kijiweni......Mkeo akikwambia Fulani kanitongoza, wewe muulize, <font color="#FF0000">JE UNGEMPA UNGENIELEZA!!!!</font>, Haya maneno ya mzee mpaka leo na tafakari!!
<br />
<br />
Kweli bhaaana, wakati mwingine we have to rational.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /<br />
Aah! Kuna mengi ya kujifunza kwenye hii thread,kumbe wanawake wana roho mbili.
<br />
<br />
Ennie hahahahaha! Nadhan huyu bwana alimaanisha kuwa wanawake si watu wa msimamo, kwa uelewa wake anaamini mwanamke haaminiki!
 
Sijui kwa nini nahisi kama ni ushamba na uchonganishi tu, coz wanawake ni maua na watu wanajaribu tu kwa hito ukisema kila anaekutongoza itabidi kila siku kabla ya kulala uweke kipindi cha maelezo, coz kuna wengine maybe wanatongozwa kila siku....vilevile usisahau kusema na uliowakubali pia
 
Ndugu hawa watu hawaaminiki,anaweza kukueleza ili umuamini then at the same time akawa anamegwa tu.
 
Sijui kwa nini nahisi kama ni ushamba na uchonganishi tu, coz wanawake ni maua na watu wanajaribu tu kwa hito ukisema kila anaekutongoza itabidi kila siku kabla ya kulala uweke kipindi cha maelezo, coz kuna wengine maybe wanatongozwa kila siku....vilevile usisahau kusema na uliowakubali pia
<br />
<br />
Vp kama atakueleza katongozwa na jiran yako wa karibu ama mshikaji mnaefahamiana?
 
Nafikiri hatua ya kuchukua ni kuwa na hekima na busara ya kujijua wewe ni nani kwa mwenzako.
Ikiwa mke/mpenzi ametongozwa halafu akaniambia je na mimi naweza kumwambia nimetongoza!
Ni swala la watu kujitambua tu.
 
ukimwambia umetongoza hapo itakuwa tafrani kweli. Wanawake watata usipime!
<font color="#696969"><font size="3"><span style="font-family: comic sans ms">Nafikiri hatua ya kuchukua ni kuwa na hekima na busara ya kujijua wewe ni nani kwa mwenzako.<br />
Ikiwa mke/mpenzi ametongozwa halafu akaniambia je na mimi naweza kumwambia nimetongoza!<br />
Ni swala la watu kujitambua tu.<br />
</span></font></font>
<br />
<br />
 
Dah hii mada imenikumbusha mbaali sana g.f wangu alikuwa akiniambia m2 fulani anamtongoza na anamsumbua sana nilimjibu ki2 kimoja kama unanipenda kweli utalinda uhusiano wetu jamaa yule alikuwa mtata sana nisingewez kufanya kitu daahh baada ya muda sikusikia tena zile lawama ila taratibu demu alinigeuka kufuatilia jamaa yule yule nda kabeba mzigo so msichana aseme ama asiseme maamuzi mara zote anabaki nayo yy
 
Dah hii mada imenikumbusha mbaali sana g.f wangu alikuwa akiniambia m2 fulani anamtongoza na anamsumbua sana nilimjibu ki2 kimoja kama unanipenda kweli utalinda uhusiano wetu jamaa yule alikuwa mtata sana nisingewez kufanya kitu daahh baada ya muda sikusikia tena zile lawama ila taratibu demu alinigeuka kufuatilia jamaa yule yule nda kabeba mzigo so msichana aseme ama asiseme maamuzi mara zote anabaki nayo yy
<br />
<br />
Pole sana mkuu! KWELI WANAWAKE WANA ROHO MBILI!
 
Huo ni utoto inabidi mtu ujue namna ya kukabiliana na hiyo mitongozo.
 
Back
Top Bottom