Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,269
- 40,056
Biashara ni kipaji na si wote wanaweza kufanya biashara na kufanikiwa kwa kiwango kile anachokitamani.Kuwekeza fedha kwenye biashara kuna kupoteza au kufanikiwa.Kwa wale ambao hatuna uzoefu au kipaji kwenye biashara huwa tunakimbilia kwenye ujenzi tukiamini kule hela haipotei hata kama hakutakuwa na faida.
Pia inategemea na chanzo cha fedha au mtaji;kwa mfano ukiangalia wanaojenga viwanda,hotel n.k kwa asilimia kubwa wanatumia mikopo..na wanaamini hata wakishindwa kurejesha mikopo hiyo lile jengo litatumika kama 'bond'.Kwa hiyo inategemea na kipaji cha mtu husika katika biashara.
Pia inategemea na chanzo cha fedha au mtaji;kwa mfano ukiangalia wanaojenga viwanda,hotel n.k kwa asilimia kubwa wanatumia mikopo..na wanaamini hata wakishindwa kurejesha mikopo hiyo lile jengo litatumika kama 'bond'.Kwa hiyo inategemea na kipaji cha mtu husika katika biashara.