Je, ni bora uwe kwenye mahusiano na mtu unayempenda lakini humwamini au unayemwamini lakini humpendi?

Zurie

JF-Expert Member
Jul 6, 2014
1,740
4,230
Mahusiano hujengwa na vitu vingi kama mapenzi, imani, huruma n.k towards mwenzi wako. Mahusiano 'ideal' ni yale ambayo unampenda, unamthamini, unamhurumia, unamuamini, unamtamani mpenzi wako. Lakini mara nyingine unaweza kulazimika kukubaliana na hali na kuchagua vita yako ya kupigana.

Je, ikitokea umepewa chaguo kati ya kuwa na mtu unayemwamini bila kumpenda na unayempenda bila kumuamini utachagua ipi?

360_F_263985005_eI4fND2LG0kWelFBCKSUuOfPtyPk2XUW.jpeg
 
Mwanaume anahitaji mwanamke anaemsikiliza na kumtii.
Mwanamke anahitaji mwanaume anayempenda na kumjali.

Ili mwanamke upendwe na kujaliwa inatakiwa uwe msikivu na mtiifu.
Ili mwanaume usikilizwe na awe mtiifu itakulazimu umpende na kumjali.

Over
 
Mmhh binafsi hivi vitu naona kama vinashabihiana! Hapo ni sawa mwanadamu aambiwe achague kimoja kwenye mwili wake kati ya moyo na ubongo kipi kiendelee kufanya kazi kipi kiache kufanya kazi!

Hata yeye akisema achague sawa anaweza akachagua kimoja kati ya hivyo lakini system ndani ya mwili wake haitaruhusu kimoja kati ya hivyo kuacha kufanya kazi hivyo huyu mtu lazima tu atakufa!

Kwahiyo hapa hata tukisema sisi tuchague kimoja kati ya hivyo tunaweza tukachagua tu! Lakini automatically hivyo vitu vyote viwili ni muhimu kwenye mahusiano kikikosekana hata kimoja basi yatakufa!
 
Yote maisha tu, angalia nafasi yako na ufurahie, mara zingine hatupati tunachotaka wala kile tunachodeserve... kwenye mapenzi lazima ukubali kuumia ama kuumiza na hivi vyote vinaletwa na level ya greed kati ya mtu na mtu hatuwezi kuwa sawa.

Watu wengi tunakosea pale tunapochukulia mapenzi kama rushwa, hii inatokana na expectation.... coz unasema ngoja nimpende au nimempe mapenzi sababu itakua hiv au vile au yeye atanifanyia hiki au kile.. lkn km unataka kufurahia.. we penda akizingua pita iv... love unconditionaly ili uwe free.

Kama unampenda kwa kua unakufak gud we penda ivyo, usiwe na wivu ama uchoyo na kujiskia vibaya akienda kumfak mwingine...
 
But given the choice, who would you rather be with?

The one who has love, remember one thing, love has to be there it has to start with LOVE...trust can be built so easily but love ? thats a tough one right there..when you don't love people you just don't love them no matter how hard they try to convince you anyhow...
 
Kwa upande wangu mimi kama namwamini na kweli ni mwaminifu bora huyo maana nitajifunza kumpenda huko huko.

Kuliko unayempenda halafu humwamini unaishi roho juu inaua hisia kabisa za mapenzi.



#Washa taa.#
 
Mahusiano hujengwa na vitu vingi kama mapenzi, imani, huruma n.k towards mwenzi wako. Mahusiano 'ideal' ni yale ambayo unampenda, unamthamini, unamhurumia, unamuamini, unamtamani mpenzi wako. Lakini mara nyingine unaweza kulazimika kukubaliana na hali na kuchagua vita yako ya kupigana.

Je, ikitokea umepewa chaguo kati ya kuwa na mtu unayemwamini bila kumpenda na unayempenda bila kumuamini utachagua ipi?

View attachment 1752551
Me nimepata niliempenda lakini sijawahi kumuamini
 
Bora nnayemwamini ila simpendi.

Trust ni moja ya kitu kikubwa kinachovunja mahusiano kwa mtazamo wangu, kuliko upendo wenyewe.

Trust is not guaranteed, even katika ndugu zako au rafiki zako au staff wenzako, so when you find a person ambae kwa kiasi kikubwa (kama si chote) huna doubt na uaminifu wake kwako, utakua na amani.

Huyu mtu kama unamuamini, hawezi kukufanyia drama, basi atakua anakupenda sana, ila wewe ndio upendo wako kwake upo chini, but you can play along (ndicho wanaume tunachofanya wengi wetu) we are good at caring even for women we don't truly love, tupo mguu ndani mguu nje.

Kwangu mimi bora niwe na nnayemwamini kuliko nnayempenda.
 
Msingi wa mahusiano baina mtu mke na mtu mume kwa minajili ya kuwa pamoja hujengwa na upendo...

Hizo scenario zote umetaja si tabia ya upendo, hivyo yote hayo ni utopolo mtupu...
 
Back
Top Bottom