Je, ni bora kuwahi au kuchelewa kuelezea hisia zako baada ya mazoea?

kilamba lamba

JF-Expert Member
May 27, 2020
367
679
Habarini wakuu,

Ipo hivi, huwa najiuliza sana kwamba ni bora kuelezea hisia zako mapema baada ya mazoea ya muda mfupi au kusubiri subiri kwa muda .
Kwa sababu naona unaweza ukawahi ukaonekana muhuni muongo muongo au ukachelewa tunda likawaiwa na wengine.

Wakuu nyie mnaona kipi ni bora hapo kati ya kuwahisha mtongozo au kuuchelewesha?
 
Ukisubiria sana itakucost mkuu ww Tongoz mapema tu. Ila waweza weka mwambia kama mdokezo ili aliweke akilini kbsa
 
Hutakiwi kuwahi wala kuchelewa hit the piont at a time being

unapojishauri shauri niseme au niache unakuwa na wacwac sana kusema au kuacha huo ndiyo muda mwafaka
 
Chelewa chelewa utamkuta mwana sio wako.

Wazee walipokutana na waganga walisema hvo..
 
Haraka haraka hainaga baraka .

Wazee walivokutana na kusema walikuwa na maana yao.
Miaka ya hivi karibuni wazee wakasema ya kuwa haraka ukiichanganya na haraka ni sawa na Do you have a real liking for someone? Are there unique feelings that you have for someone? Do you feel some sort of connection you cannot quite understand? There is a way for you to find out....
 
Na baada ya kueleza hisia muwe waelewa, sio mtu anakueleza vizuri kabisa kwamba hayuko tayari unalazimiiiiisha unakomaaa utadhani uliumbwa udate nae mxyuuuu.
 
Na baada ya kueleza hisia muwe waelewa, sio mtu anakueleza vizuri kabisa kwamba hayuko tayari unalazimiiiiisha unakomaaa utadhani uliumbwa udate nae mxyuuuu.
Punguza moto binti ukikubali kirahisi hutogegeda. Ni kunyooka na ww hadi uachie hiyo papuchi
 
Back
Top Bottom