Johnson arthur
New Member
- Apr 19, 2021
- 1
- 0
Mimi ni mvulana wa miaka 23kwa ninaitwa, Johnson napatikana Dar es Salaam naombeni ushauri mimi nimesoma hadi form four lakini sikufanikiwa kwenda mbele zaidi na ni MTU anaependa kusoma hasa katika ngazi za IT.
Je, ni biashara gani naweza Fanya ikanipatia walau ada kwasababu ada ni kuanzia laki 6 kwa mwaka na hiyo course ni miaka miwili nawasilisha hata mbele yenu nahitaji msaada kusimama mwenyewe siwezi ushauri wenu huenda ukanitoa sehemu moja kwenda sehemu nyingine na kazi nyingi ninazozifanya Mimi huwa zinahusiana na technology.
Je, ni biashara gani naweza Fanya ikanipatia walau ada kwasababu ada ni kuanzia laki 6 kwa mwaka na hiyo course ni miaka miwili nawasilisha hata mbele yenu nahitaji msaada kusimama mwenyewe siwezi ushauri wenu huenda ukanitoa sehemu moja kwenda sehemu nyingine na kazi nyingi ninazozifanya Mimi huwa zinahusiana na technology.