Nadhani zote zinazosupport VISA na MASTER CARD. Uhakika, mie natumia account ya CRDB ambayo nimelink na paypal. Process zao si ngumu:
1. Nenda bank ya CRDB omba fomu ya kuunga card online. Jaza hapo hapo kisha subiri ndani ya 24hrs inawezeshwa.
2. Fungua paypal account (kama huna). Kisha fanya process za kuunga card yako na paypal, verify.
3. Subiri siku 3-5, nenda bank chukua statement. Utakuta secret code imetumwa. Ingiza kwenye account yako ya paypal.
4. Anza kufanya manunuzi kwa fujo.
Nadhani zote zinazosupport VISA na MASTER CARD. Uhakika, mie natumia account ya CRDB ambayo nimelink na paypal. Process zao si ngumu:
1. Nenda bank ya CRDB omba fomu ya kuunga card online. Jaza hapo hapo kisha subiri ndani ya 24hrs inawezeshwa.
2. Fungua paypal account (kama huna). Kisha fanya process za kuunga card yako na paypal, verify.
3. Subiri siku 3-5, nenda bank chukua statement. Utakuta secret code imetumwa. Ingiza kwenye account yako ya paypal.
4. Anza kufanya manunuzi kwa fujo.
Kuna gharama zozote za kufungua hiyo paypal?ni kiasi gani?
Nadhani zote zinazosupport VISA na MASTER CARD. Uhakika, mie natumia account ya CRDB ambayo nimelink na paypal. Process zao si ngumu:
1. Nenda bank ya CRDB omba fomu ya kuunga card online. Jaza hapo hapo kisha subiri ndani ya 24hrs inawezeshwa.
2. Fungua paypal account (kama huna). Kisha fanya process za kuunga card yako na paypal, verify.
3. Subiri siku 3-5, nenda bank chukua statement. Utakuta secret code imetumwa. Ingiza kwenye account yako ya paypal.
4. Anza kufanya manunuzi kwa fujo.
Nafikiri
4. weka pesa ya kutosha kwenye accout yako, halafu 5. iwe hiyo kwenye red
Si lazima hata kidogo. Paypal inafanya transaction moja kwa moja kutoka kwenye account yako halisi kwenda kule utakako. Hawahifadhi pesa zako labda kama ni malipo yanafanyika kwenye akaunti yako ya paypal, lakini si wewe kutumia credit card kuhifadhi pesa zako paypal. Unapofanya manunuzi hakikisha tu kwamba unapesa kwenye akaunti yako halisi.
ndio inabidi ajaze pesa ya kutosha kwenye hiyo uliyoiita account yake halisi kabla ya kufanya manunuzi kwa fujo, au?