Dhana ya kujivua gamba CCM inasuasua kutokana na nguvu ya kisiasa waliyonayo watuhumiwa.Je nguvu hii inatokana na uadilifu au ukwasi? Kama sababu ni uadilifu ni kwa eneo lipi? Na kama ni ukwasi ina maana sasa CCM kinadhamini wenye fedha zaidi ya wasionacho? Wana JF maoni yenu tafadhali.