Namheshimu sana Nelson Mandela, natambua sana mchango wake kwa taifa la Afrika ya Kusini. Historia yake ya kutoka gerezani na kuingia ikulu hakika inavutia na ni kitu cha kutia moyo kwa wapigania haki. Zaidi atakumbukwa kwa RECONCILIATION a...liyoleta Afrika ya Kusini baina ya Weupe na Weusi......... LAKINI...... Zaidi ya hapo hivi ni MCHANGO gani Mandela ametoa kwa bara la AFRIKA?
JE NI KWELI huyu Mandela ni zaidi ya viongozi kama Mwl. Nyerere, Kwame Nkrumah na Ghadafi kwa maana ya kujitoa kusaidia bara la Afrika?
.................. Moja ya mambo ambayo jamii ya watu weusi wanalaumu ni kushindwa kwake kuutafsiri uhuru wa KISIASA katika hali yao ya maisha na manyanyaso ya KIUCHUMI............... Urafiki wake na Mataifa ya MAGHARIBI ulibadilisha mtazamo wake na kuweka mazingira mazuri kwa Wageni kwa hasara ya Waafrika wenzake..... Faida aliyopata ni KUTANGAZWA NA VYOMBO VYA HABARI vya kibepari kama Kiongozi mwenye MCHANGO ZAIDI KWA BARA LA AFRIKA!!!
Mungu akupe afya njema Mandela. Binafsi nakuheshimu kama kiongozi uliye na historia ya kuvutia uliyeanza vizuri na kumaliza VIBAYA
JE NI KWELI huyu Mandela ni zaidi ya viongozi kama Mwl. Nyerere, Kwame Nkrumah na Ghadafi kwa maana ya kujitoa kusaidia bara la Afrika?
.................. Moja ya mambo ambayo jamii ya watu weusi wanalaumu ni kushindwa kwake kuutafsiri uhuru wa KISIASA katika hali yao ya maisha na manyanyaso ya KIUCHUMI............... Urafiki wake na Mataifa ya MAGHARIBI ulibadilisha mtazamo wake na kuweka mazingira mazuri kwa Wageni kwa hasara ya Waafrika wenzake..... Faida aliyopata ni KUTANGAZWA NA VYOMBO VYA HABARI vya kibepari kama Kiongozi mwenye MCHANGO ZAIDI KWA BARA LA AFRIKA!!!
Mungu akupe afya njema Mandela. Binafsi nakuheshimu kama kiongozi uliye na historia ya kuvutia uliyeanza vizuri na kumaliza VIBAYA