BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
USIOMBE TU mungu akupe ndoa wengi wanateseka sababu ya midomo yao omba ndoa yenye upendo yenye baraka yenye utulivu wengi wakishaumwa na nyigu ndio wanaanza maombi ya ndoa yenye utulivu wakati huo mzigo uko kwenye mizai ya tanaroads lazima umalizane nayo lazima umalizane na kila kitu kabla ya tukio halisi kufikia tamati
Mungu akupe wewe unaeenda kuoa kesho na keshokutwa upendo wa amani katika ndoa yako
Mungu akupe wewe unaeenda kuoa kesho na keshokutwa upendo wa amani katika ndoa yako