Je, ndoa nayo ni sababu ya kuwa na viongozi wabovu chadema?

Status
Not open for further replies.

HAMY-D

JF-Expert Member
Sep 18, 2011
7,149
3,817
Kutokana na hali ilivyo sasa ya ukosefu ufanisi kwa viongozi, hasa wanasiasa wetu, ningependa tujadili hili suala la ndoa kama lina mchango wowote katika kumfanya kiongozi awe mwajibikaji, awe mwenye ufanisi mwisho awe kiongozi bora.

Katika mjadala huu, case study iwe CHADEMA, kwani katika chama hiki kuna viongozi wake wengi wako nje ya ndoa, lakini pia utendaji wao sio wa kuridhisha, hali inayo pelekea niwe na shahuku kama kuna mahusiano ya ndoa na uongozi.

N.B: kumbuka hata rais mstaafu,mzee Mkapa, alilazimika kumrudia Mama Anna Mkapa ili tu aweze kukidhi kuingia Ikulu.
 
Uchumi wa nchi hii kuwa sintofahamu ni sababu ya ndo za marais wa nchi hii??? ubongo wako na mwili wako tofauti!! au ubongo wako uko allocated sehemu gani ya mwili wako??
 
Uchumi wa nchi hii kuwa sintofahamu ni sababu ya ndo za marais wa nchi hii??? ubongo wako na mwili wako tofauti!! au ubongo wako uko allocated sehemu gani ya mwili wako??

Kama tunataka rais ajae awe ni kiongozi bora, inapaswa tumpime sasa mtu tunae dhani ni kiongozi bora, huyu babu Slaa tayari ana madhaifu mengi, ili la ndoa likiwemo, je, kuna mahusiano ya ubovu wake kiuongozi na kuwa nje ya ndoa?
 
As recent events in a Bangladesh garment factory have highlighted, one cannot evaluate the pros and cons of an international market without also looking at corporate social responsibility issues involved in the selection process. In an increasingly connected world, the failures of one's business dealings in what were once considered "remote" parts of the world are no longer remote and no longer easy to hide.
The Wall Street Journal reported on November 30, 2012 that Wal-Mart "didn't know" its products were still being made in the Bangladeshi factory, months after Wal-Mart had revoked the factory's authorization to make their products. This is the problem with the instant age of cell phones, computers and the internet. It's far too easy to beam images of Wal-Mart brand labels amidst the burned-out rubble of a Bangladesghi factory all around the globe, which makes it doubly important that companies, such as Wal-Mart, know exactly what is transpiring in their supply chain at all times.
Not long ago, firms could largely ignore supply chain problems around the globe, because news of any labor unrest, safety concerns, low wages or child labor in these far reaches would rarely find its way into the media or the public's attention. But all that has changed, and firms must address these tough issues head on with humility and honesty. It is critical that firms invest in employees engaged in corporate social responsibility, whose role is to weigh the pros and cons of global decisions and to balance public relations, brand awareness, and cost considerations with the question of what is moral and "right" in a global society.
While consumers' memories may be short-lived in some instances, the ability of the internet (and particularly social media sites such as Facebook and Twitter) to spread news like wildfire, means that negative stories can grow exponentially and be impossible to contain. Firms must do their best to mitigate any potential pitfalls before they happen. It appears that for Wal-Mart, the problem in Bangladesh was a supplier that subcontracted out without Wal-Mart's authorization (Bangladesh: How Rules Went Astray, Wall Street Journal, December 6, 2012). So in this sense, Wal-Mart may not be to blame for the tragic fire. However, it does raise the point that Wal-Mart needs to evaluate its overall strategy for doing business in Bangladesh, a country that is known for this type of unauthorized behavior. It must weigh its quest for "always low prices" with public perception and people's lives. All companies considering a global business today must be prepared to make corporate social responsibility a key piece of operations, in order to avoid these types of costly mistakes.
 
Kutokana na hali ilivyo sasa ya ukosefu ufanisi kwa viongozi, hasa wanasiasa wetu, ningependa tujadili hili suala la ndoa kama lina mchango wowote katika kumfanya kiongozi awe mwajibikaji, awe mwenye ufanisi mwisho awe kiongozi bora.

Katika mjadala huu, case study iwe CHADEMA, kwani katika chama hiki kuna viongozi wake wengi wako nje ya ndoa, lakini pia utendaji wao sio wa kuridhisha, hali inayo pelekea niwe na shahuku kama kuna mahusiano ya ndoa na uongozi.

N.B: kumbuka hata rais mstaafu,mzee Mkapa, alilazimika kumrudia Mama Anna Mkapa ili tu aweze kukidhi kuingia Ikulu.
As recent events in a Bangladesh garment factory have highlighted, one cannot evaluate the pros and cons of an international market without also looking at corporate social responsibility issues involved in the selection process. In an increasingly connected world, the failures of one's business dealings in what were once considered "remote" parts of the world are no longer remote and no longer easy to hide.
The Wall Street Journal reported on November 30, 2012 that Wal-Mart "didn't know" its products were still being made in the Bangladeshi factory, months after Wal-Mart had revoked the factory's authorization to make their products. This is the problem with the instant age of cell phones, computers and the internet. It's far too easy to beam images of Wal-Mart brand labels amidst the burned-out rubble of a Bangladesghi factory all around the globe, which makes it doubly important that companies, such as Wal-Mart, know exactly what is transpiring in their supply chain at all times.
Not long ago, firms could largely ignore supply chain problems around the globe, because news of any labor unrest, safety concerns, low wages or child labor in these far reaches would rarely find its way into the media or the public's attention. But all that has changed, and firms must address these tough issues head on with humility and honesty. It is critical that firms invest in employees engaged in corporate social responsibility, whose role is to weigh the pros and cons of global decisions and to balance public relations, brand awareness, and cost considerations with the question of what is moral and "right" in a global society.
While consumers' memories may be short-lived in some instances, the ability of the internet (and particularly social media sites such as Facebook and Twitter) to spread news like wildfire, means that negative stories can grow exponentially and be impossible to contain. Firms must do their best to mitigate any potential pitfalls before they happen. It appears that for Wal-Mart, the problem in Bangladesh was a supplier that subcontracted out without Wal-Mart's authorization (Bangladesh: How Rules Went Astray, Wall Street Journal, December 6, 2012). So in this sense, Wal-Mart may not be to blame for the tragic fire. However, it does raise the point that Wal-Mart needs to evaluate its overall strategy for doing business in Bangladesh, a country that is known for this type of unauthorized behavior. It must weigh its quest for "always low prices" with public perception and people's lives. All companies considering a global business today must be prepared to make corporate social responsibility a key piece of operations, in order to avoid these types of costly mistakes.
 
Asubuhi, chadema, mchana chadema, usiku chadema, unapata wapi muda wa kuwaza kuendeleza familia yako.
 
Kutokana na hali ilivyo sasa ya ukosefu ufanisi kwa viongozi, hasa wanasiasa wetu, ningependa tujadili hili suala la ndoa kama lina mchango wowote katika kumfanya kiongozi awe mwajibikaji, awe mwenye ufanisi mwisho awe kiongozi bora.

Ukosefu wa ufanisi gani unaouongelea wewe huu wa sasa? Mbona uongozi wetu umekosa ufanisi tangu tupate uhuru? Na viongozi walikuwa na ndoa zao nzuri tu, na wakati huo huo orgies zilikuwa zinaendelea mpaka Ikulu.

Ndoa gani unazoziongelea wewe? Ndoa hizi za shere za kina Kikwete, watoto wa nje ya ndoa kila mkoa?

Katika mjadala huu, case study iwe CHADEMA,

Kwa nini unatuwekea wigo kuishia CHADEMA? Tukisema una ajenda iliyojificha nyuma ya pazia dhidi ya CHADEMA utakataa? Mbona Lipumba hajaoa? Mbona CCM viongozi wengi wameoa lakini hawazitunzi ndoa zao?

kwani katika chama hiki kuna viongozi wake wengi wako nje ya ndoa, lakini pia utendaji wao sio wa kuridhisha, hali inayo pelekea niwe na shahuku kama kuna mahusiano ya ndoa na uongozi.

Viongozi gani walio na utendaji wa kuridhisha Tanzania tuwalinganishe?

N.B: kumbuka hata rais mstaafu,mzee Mkapa, alilazimika kumrudia Mama Anna Mkapa ili tu aweze kukidhi kuingia Ikulu.

Sasa ile "marriage of political convenience" iliyolazimishwa kuendelea na Nyerere nayo unaihesabu kama ndoa ama vipi?

Botswana ni nchi inayoheshimika kwa kuwa na uongozi mzuri, kati ya nchi zenye uongozi mzuri kabisa Afrika.

Rais wa Botswana hajaoa mpaka leo.

Hapo utasemaje?
 
Asubuhi, chadema, mchana chadema, usiku chadema, unapata wapi muda wa kuwaza kuendeleza familia yako.

Nchi yangu kwanza familia yangu baadae.

Siwezi kuruhusu nchi yangu iongozwe na kiongozi mbovu wakati madhara tunayajua.

Ona yaliyo tokea Uganda- Idd Amini, Congo, Iraq etc.
 
Nasikia Nyerere aliwahi kuonya katika kikao cha chama tawala kwa kusema "Mmefanya makosa sana kumwachia yule kijana aende chadema atakuja kuwasumbua baadae na atakuja kuwa Raisi wa Tanzania (akimaanisha Dr Slaa)" je hizi ni habari za kweli?
 
mara ya mwisho Tanzania kutawaliwa na raisi alikuwa kwenye ndoa ilikuwa 1995
 
Nchi yangu kwanza familia yangu baadae.

Siwezi kuruhusu nchi yangu iongozwe na kiongozi mbovu wakati madhara tunayajua.

Ona yaliyo tokea Uganda- Idd Amini, Congo, Iraq etc.

[h=1]Utd use Fergie to lure Ron[/h] Exclusive
By NEIL CUSTIS

Last Updated: 15th June 2013









[h=3]MANCHESTER UNITED are ready to use the pulling power of Alex Ferguson to help land Cristiano Ronaldo.[/h] The Real Madrid superstar was disappointed when the 71-year-old retired at the end of last season.
Part of the winger's attraction of a return to Old Trafford was to work again with the man he regarded as a father figure.
But United still believe Fergie's influence as a director at the club will work in their favour.
And they believe a word from the ex-boss in Ron's ear can swing a transfer their way.
Ferguson will not be meddling with the new era of David Moyes but if he can encourage Ronaldo to come back he will do so.
The Portugal ace and Ferguson have remained close since the player left in 2009 for £80million.
When Fergie's retirement was announced Ronaldo simply tweeted: "Thanks for everything, Boss."
It was another tweet yesterday that gave United fans hope, which said: "All the news about my renewal with Real Madrid are false."
That offered further encouragement to United who are willing to offer £65m plus a player - or straight cash if need be.
Gareth Bale could also play a part in the saga.
If Ronny stays United will bid £85m for the Spurs winger. But if Bale, 23, goes to Madrid they hope it will signal Ron's return.
 
Nchi yangu kwanza familia yangu baadae.

Siwezi kuruhusu nchi yangu iongozwe na kiongozi mbovu wakati madhara tunayajua.

Ona yaliyo tokea Uganda- Idd Amini, Congo, Iraq etc.

Kuna kiongozi mbovu zaidi ya yule anayetafuta kuongoza kwa miaka kumi (1995-2005) kisha akiwa madarakani anasema hajui kwa nini nchi yake ni masikini?
 
Nenda kaangalie nini tafsiri ya ndoa halafu waangalie viongozi wa CCM uwatathmini kwa kulinganisha na hali ya uchumi iliyopo na namna raslimali za nchi zinavyotumika. CCM ndiyo wenye dhamana ya kuongoza nchi hii. Achana na Chadema, hawa ni wapinzani na hakika wanafanya vizuri sana-angalia takwimu za 2000, 2005, na 2010 utaona mafanikio yao ambayo yana uhusiano wa moja kwwa moja na uongozi wao.
 
Asubuhi, chadema, mchana chadema, usiku chadema, unapata wapi muda wa kuwaza kuendeleza familia yako.
1.Hana familia,angekua na familia asingepata mda wa kuwaza ungese2.Huu ujin.a ndo unaomuweka mjini asipofanya hivi hapati cho..,kama anabisha akae siku 3 bila kutaja CDM
 
Nchi yangu kwanza familia yangu baadae.

Siwezi kuruhusu nchi yangu iongozwe na kiongozi mbovu wakati madhara tunayajua.

Ona yaliyo tokea Uganda- Idd Amini, Congo, Iraq etc.

Malizia kujibu yote aliyosema,mbona unajibu la familia tuu,
halafu kule kwetu ukiitwa HAMY inabidi urushe ngumi kama siyo HAMY,maana yake ni UBWABWA NYAMA YA NYUMA.
 
Kama tunataka rais ajae awe ni kiongozi bora, inapaswa tumpime sasa mtu tunae dhani ni kiongozi bora, huyu babu Slaa tayari ana madhaifu mengi, ili la ndoa likiwemo, je, kuna mahusiano ya ubovu wake kiuongozi na kuwa nje ya ndoa?

Mwenyekiti wako ana ndoa na zingine hatuzisemi je ndio zilizochangia aiharibu nchi kiasi hiki?
 
Status
Not open for further replies.
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom