Wandugu,
Nimesikitika kuwaona Timu ya Taifa Kilimanjaro Stars wakienda Uganda kwenye mashindano ya CECAFA kwa Uganda Airlines.
Imebidi kuuliza ikiwa bado Air Tanzania tunaenda Entebbe. Na ikiwa bado tuna njia hiyo. Je uzalendo wa TFF upo wapi?
Naona tunajimaliza wenyewe.
Nimesikitika kuwaona Timu ya Taifa Kilimanjaro Stars wakienda Uganda kwenye mashindano ya CECAFA kwa Uganda Airlines.
Imebidi kuuliza ikiwa bado Air Tanzania tunaenda Entebbe. Na ikiwa bado tuna njia hiyo. Je uzalendo wa TFF upo wapi?
Naona tunajimaliza wenyewe.