Je! Nawezaje pata cheti changu? Na ungekuwa wewe ungefanyaje?

Mpauko

R.I.P
Jan 19, 2019
2,323
3,353
Habarini wakuu?

bila kupoteza muda tujikite kwenye mada,

wakuu naishi Mtwara japo ni mzaliwa wa Iringa,miaka 24 iliyopita na nimehitimu mafunzo ya ualimu Grade A mwaka 2018.
Mwaka juzi nikiwa nipo chuoni mzee wangu ambaye ndie mtegemezi pekee wa familia yetu alifukuzwa kazi (alikua ni mwajiriwa shirika la posta tena kwa kutoelewana hadi hawakumlipa stahiki zake so tuka go down moja kwa moja to zero) tatizo likaanzia hapa nilikuwa chuo binafsi nilichopangiwa baada ya udahili,hivyo ikanilazimu kupambana tu hadi kuhitimu nikiwa na deni about 1.5 mil
nilijipa moyo kuwa nikimaliza masomo nitafanya vibarua niweze kulipa hili deni kusudi nipate cheti changu imagine ajira zikitoka leo hii sitoweza kuapply coz chuo hakitakubali kunipatia vyeti vyangu bila kulipa pesa yao.


the problem is that kila napotafuta vibarua HAWANITAKI,naweza wasiliana nao wakasema andika barua ila the day barua naipeleka wakanotify kuwa nasumbuliwa USIKIVU HAFIFU wanareject macho makavu tu! Hawatoi hata nafasi ukaonesha ulichonacho! Na hii ina-happen continuously since nimegraduate 2018 mwez april until now sijawahi bahatika pata kibarua chochote,lakin hilo kwangu si tatizo naendelea kutafuta!

TATIZO kubwa linaloniumiza na kunitia mawazo ni kuwa family yangu since imeyumba hadisasa hali ni ngumu na wadogo zangu wawili wamestop masomo.
KWAHIYO sina uwezo wa kukipata cheti changu na kwenye vibarua na hata volunteer HAWANITAKI husema tu sisi hatuajili walemavu,hatuajiri mwalimu wa kujitolea asiyesikia,huiwezi hii kazi n.k


je! Nawezaje pata cheti changu? Na ungekuwa wewe ungefanyaje?
ikiwa matumaini ya kupata cheti ni madogo hivi itakuaje post zkitoka na jinsi zilivyo adimu kupoteza nafasi ya kujaribu kuapply kisa cheti kipo mikononi mwa chuo si inakatishatamaa mno ukizingatia hizi challenge za kutozingatiwa mtaani utayainua vipi maisha yako?


Nini cha kufanya?

NOTE:
-una ndugu wale wanafiki haswa ambao ukiingia shida ndo wanakuombea tu hata ufe ili usiwasumbue.(bahati mbaya kutokana na kupata deafness ndo wamekudharau kabisa kiasi wanaona ukamsaidie bibi yako kulima huko village)
-uko down to zero
-uko na usikivu hafifu
 
Hongera kwa hatua uliofikia kielimu umepandana na safari bado ni ndefu sana, kumbuka pia mtaani kuna watu wenye elimu kama yako na zaidi,
1. hawana ulemavu wowote
2 . wana vyeti vyao vya chuo tokea mwaka 2014 mpaka Leo hii wanapambana ya ela yote na bado wamekosa sehemu ya kujishikiza.

Usijaribu kusema kuwa ulemavu ndio kikwazo kwako tatizo naloliona ni umekosa fursa muda wako bado. Unasema unakosa sehemu za kujitolea buree sio kwelii? Nenda kwa mama ntilie, hospital, kanisani, jitolee kufanya usafi bila malipo lazima wakukubali!!! Labda kama hujui maana ya neno Volunteer...... Unajigaramia kila kitu kuanzia, nauli, chakula, malazi na garama nyingine hiio ndio volunteer.


Matatizo yako ni ya kawaida usipokata tamaa ya maisha kuna watu wana mikasa ya kutisha sana kuhusu wadogo zako kushindwa kusoma sio jambo la ajabu ni kawaida kama wameishia STD 7 wengi sana wamekomea hapo na maisha yanaendelea na wanafamilia zaidi wanamshukuru. Allah

Ushauri weka vyeti pembeni Fanya unachoweza kuajiriwa ni bahati pia ni utumwa kwa umri wako hupaswi kuongelea mzazi ulikofikia ni pazuri kumbuka chuo ama kusoma zaidi ni kuzidi kuongeza maarifa sio kujiandaaa kuajiriwa. Ukifanikiwa ulete mrejesho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera kwa hatua uliofikia kielimu umepandana na safari bado ni ndefu sana, kumbuka pia mtaani kuna watu wenye elimu kama yako na zaidi,
1. hawana ulemavu wowote
2 . wana vyeti vyao vya chuo tokea mwaka 2014 mpaka Leo hii wanapambana ya ela yote na bado wamekosa sehemu ya kujishikiza.

Usijaribu kusema kuwa ulemavu ndio kikwazo kwako tatizo naloliona ni umekosa fursa muda wako bado. Unasema unakosa sehemu za kujitolea buree sio kwelii? Nenda kwa mama ntilie, hospital, kanisani, jitolee kufanya usafi bila malipo lazima wakukubali!!! Labda kama hujui maana ya neno Volunteer...... Unajigaramia kila kitu kuanzia, nauli, chakula, malazi na garama nyingine hiio ndio volunteer.


Matatizo yako ni ya kawaida usipokata tamaa ya maisha kuna watu wana mikasa ya kutisha sana kuhusu wadogo zako kushindwa kusoma sio jambo la ajabu ni kawaida kama wameishia STD 7 wengi sana wamekomea hapo na maisha yanaendelea na wanafamilia zaidi wanamshukuru. Allah

Ushauri weka vyeti pembeni Fanya unachoweza kuajiriwa ni bahati pia ni utumwa kwa umri wako hupaswi kuongelea mzazi ulikofikia ni pazuri kumbuka chuo ama kusoma zaidi ni kuzidi kuongeza maarifa sio kujiandaaa kuajiriwa. Ukifanikiwa ulete mrejesho

Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru kwa pongezi mkuu

Kwanza nikiri kuwa ulemavu kwangu haujawahi kuwa kikwazo siku zote najitoa katka kitu chochote bila kujali hili na ndio mana nakutana na mengi.

Naelewa maana ya volunteer mkuu na nimeapply on volunteer katika mashule binafsi na huko ndiko HAWANITAKI militake it kama kipaumbele kwa vile ni field yangu and i really like it
Nashukuru sana kwa kunifumbua macho kumbe naweza jitolea hata hospitali,mama lishe na hata kanisani i have learned something here,be blessed!
Currently nipo on volunteer katika shule ya serikali ya Viziwi like ulivyosema its just on volunteer i cant afford bus fare daily so siku zingine i have to walk about 1.5km kwa mguu and i dont regret it napenda sana kuwa sehemu ya elimu ya hswa watoto!
Lakini bro! Yapasa pia kutazama na upande wa pili mimi ninashi vipi? Ni kweli siwezi kumudu nauli sh800 kwenda na kurudi mara nyingi hulazimika kutembea kwa mguu,kumbuka ni mtoto wa kiume mkubwa na hali ya nyumbani nileo mle kesho msile pasi ndefu ndio kawaida ikikamilika milo 3 hiyo siku itakua ya ajabu sana,Cant you feel a sense of responsibility to your family? Is that okay to keep believing that muda wangu bado?

Bro ningekua na cha kufanya nngefany than kuja kuomba ushauri hapa,sina uwezo kusema kwamba nijiemploy myself(ningekua na uwezo huo singekua na mudawa kupoteza)

Bro kumbuka cheti kipo mikononi mwa chuo na wala sikihitaji ili niombee ajira huku private hapana mkuu,je nahitaji kukomboa cheti kiwa mkononi mwangu ili sekretariet ya ajira inapotoa ajira niwe najaribu bahati yangu hebu fikiria fursa imekuja mbele yako kisha ndo uanze kuhangaika na cheti hatimaye fursa dimu inakupita utafeel vema?
Hakuna kitu kinaumiza roho na kutia stress kama kujipata katika umri huu upo kwa wazazi na huna cha kuwapa,ntamani sana kuescape hii situation kaka
Binafsi sina meamko wa kuajiriwa kabisa lakini hali ndio inayonisukuma kutafuta kuajiriwa ili nipate ca kuanzia,naamini sana katika kujiendeleza kielimu mungu atasaidia.
Ubarikiwe mkuu
 
Hahaha uliishaileta hii humu ukashauriwa, mimi ni mmoja wa washauri, leo tena umeileta. Unataka nini kuhusu hayo masikio yako?!
 
Jaribu kujiajiri pia, siyo lazima uanze na supermarket, hata kutengeneza juisi ya matunda peleka sehemu yenye watu wengi kidogo. Mungu anasubiri abariki kazi ya mikono yako! Sema ameni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ameeeen mkuu,tayari nina wazo nililolichagua ni kuuza vitafunwa mashuleni na usiku kwenye vituo vya basi i believe inatosha kuanzia harakati,ni kupray tu mtaji upatikane.
 
Hahaha uliishaileta hii humu ukashauriwa, mimi ni mmoja wa washauri, leo tena umeileta. Unataka nini kuhusu hayo masikio yako?!
Bro za mchana! Nakuona umefurahiiii baada ya kumeet again..
Lakin bro i blame you,hauko serious bana soma vizuri bandiko hili na uelewe nachozungumzia bwana maana naona unauliza masikio yangu ilhali mada inazungumzia kitu kingine.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom