Vf-successfully
JF-Expert Member
- Oct 25, 2017
- 253
- 166
Wakuu habari zenu mimi nilifaulu kidato cha pili 2012 kwa wastani wa C je naweza kwenda chuo cha ufundi kusoma ili nifanikiwe kupata hata diploma na umri umekimbia ni miaka 24 sasa msaada kwa ushari je naweza ludi shule!