Kikweli mimi siyo mtaalamu sana wa laptop nina kama laki 350 hivi mnaweza nisaidia kunitajia laptop ipi nzuri naweza pata kwa hiyo bajet yangu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Me kazi yangu kubwa ni games kuandika na kusikiliza music bacUnataka kutumia kwa matumizi gani mkuu mana watumiaji wa laptop wamegawanyika makundi mengi kulingana shughuri anayoenda kufanyia
Okay inategemea na games unazocheza ila kwa laptop nzuri kucheza games za kisasa itakulazimu kuanzia laki 5 kwa used za kibongo
Okay inategemea na games unazocheza ila kwa laptop nzuri kucheza games za kisasa itakulazimu kuanzia laki 5 kwa used za kibongo
Ila unaweza pata kwa bei hiyo wakati mwingne hutokea mtu anauza kwa shida tu
ila kwa dukani utapata nzuri kwa bei hiyo
Pamoja mkuu me huwa napataga mara kwa mara ikitokea nzuri bei nafuu nitakujuzaAsante kwa ushauli wako ngoja bac nizichange ili ziwe jing bado kdogo tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya mkuu ninesha kutextPamoja mkuu me huwa napataga mara kwa mara ikitokea nzuri bei nafuu nitakujuza
ila huwa n USED km utapenda nitumie namba yako PM au waweza wasiliana nami kwa 0777039477 ikipatika tutawasiliana
napatikana MAKUMBUSHO stand
Kkoo kwenye maduka yanayouza spare za computer kkoo hizo battery zipo nyingi tuuMsaada pia ...wapi Dar nitapata Battery mpya ya Compaq presario CQ62 na bei ikoje ?
Kkoo kwenye maduka yanayouza spare za computer kkoo hizo battery zipo nyingi tuu