Emygidius George
Member
- May 24, 2015
- 9
- 3
Nahitaji kupata namna ya kusafirisha vitu vya ndani kutoka Dar kwenda mkoani Kagera, naweza pata kampuni gari ya usafirishaji au mtu anayehusika ambae gharama zake si kubwa.
Nenda Jangwani au kawaone watu wa posta wanayo huduma kusafirisha mizigo mikubwa na midogo. Nimeona kwenye tangazo TBC TV.Nahitaji kupata namna ya kusafirisha vitu vya ndani kutoka Dar kwenda mkoani Kagera, naweza pata kampuni gari ya usafirishaji au mtu anayehusika ambae gharama zake si kubwa.