Riziki Mohammed
Senior Member
- Mar 4, 2017
- 118
- 205
Naomba kufahamishwa kama kuna sheria inayoniruhusu kutengua au kufuta Kura niliyompigia Rais wa Nchi. Asanteni
Vipi mkuu umekutwa na cheti feki nini??Naomba kufahamishwa kama kuna sheria inayoniruhusu kutengua au kufuta Kura niliyompigia Rais wa Nchi. Asanteni
Hili ndilo jibu sahihi.Akishatangazwa na Tume ya Uchaguzi hakuna kubadilisha tena inabudi usubiri muda wake uishe ili ufanye uchaguzi mwingine.
Kweli nyani haoni kundule....Kuna tujitu tumejisajili kwenye forum hii juzi juzi tunaleta uzi zenye hoja dhaifu.
Wanatuharibia jukwaaKuna tujitu tumejisajili kwenye forum hii juzi juzi tunaleta uzi zenye hoja dhaifu.
KabisaaaWanatuharibia jukwaa
Tatizo haujamuelewa muuliza swwali, hajasema anataka kura yake ibadili matokeo ya urais, bali kauliza kama kuna sheria inayoruhusu mtu kwenda mahakamani kubadilisha kura aliyopiga, inaweza kuwa alipiga ya kumkataa raisi sasa anataka iwe ya kumkubali, and vice versa. ni swali nzuri la kufikirisha kisheria, ila ukiliangalia kwa ushabiki wa vyama huwezi kumuelewakwahiyo ukirudisha hio kura moja ndo ataacha kuwa Rais.
Pambana kijana, chuki yako haitajenga ,huwezi kubadili chochote ndani ya miaka hii mi3...
Ukiwa na majukumu mawazo ya ajabu ajabu kama hayo hayatakujia
Dah............ahsante kwa kuniongezea muda wa kuishi. Kwa baridi hili nilikuwa sijacheka siku nzima. Ubarikiwe MkuuNaomba kufahamishwa kama kuna sheria inayoniruhusu kutengua au kufuta Kura niliyompigia Rais wa Nchi. Asanteni
Duh hivi mkuu huba mada yoyote muhimu zaidi ya kuleta hii uliyoileta?Naomba kufahamishwa kama kuna sheria inayoniruhusu kutengua au kufuta Kura niliyompigia Rais wa Nchi. Asanteni
Kiukweli sasa hivi JF imeingiliwa na kina Kisandu wengi sana hivi kweli mtu anakaa na kuja JF kuweka uzi kama huu na sisi tunachukua muda hata kuujadili???????Tatizo haujamuelewa muuliza swwali, hajasema anataka kura yake ibadili matokeo ya urais, bali kauliza kama kuna sheria inayoruhusu mtu kwenda mahakamani kubadilisha kura aliyopiga, inaweza kuwa alipiga ya kumkataa raisi sasa anataka iwe ya kumkubali, and vice versa. ni swali nzuri la kufikirisha kisheria, ila ukiliangalia kwa ushabiki wa vyama huwezi kumuelewa