Je, naweza kutumia kioo cha brand nyingine kuweka katika simu yangu?

toplemon

JF-Expert Member
Mar 26, 2017
4,581
4,626
Wakuu jee naweza kutumia kioo cha simu nyingine kuweka katika simu yangu


Mfano unatumia infinix simu yako ikaharibika kioo ukakosa cha infinix lakini kuna vya tecno, samsung au vivo ambavyo vina ukubwa sawa na cha simu husika katika display size inches?

Mfano simu yangu kioo chake ni Display: 5.7 inches, 720 x 1600

Na kioo cha brand ya samsung nachotaka kuweka kwenye simu yangu ni Display 5.7 inches, 720 x 1560

Jee inafaa?
 
Wakuu jee naweza kutumia kioo cha simu nyingine kuweka katika simu yangu


Mfano unatumia infinix simu yako ikaharibika kioo ukakosa cha infinix lakini kuna vya tecno, samsung au vivo ambavyo vina ukubwa sawa na cha simu husika katika display size inches?

Mfano simu yangu kioo chake ni Display: 5.7 inches, 720 x 1600

Na kioo cha brand ya samsung nachotaka kuweka kwenye simu yangu ni Display 5.7 inches, 720 x 1560

Jee inafaa?
 
Wakuu jee naweza kutumia kioo cha simu nyingine kuweka katika simu yangu


Mfano unatumia infinix simu yako ikaharibika kioo ukakosa cha infinix lakini kuna vya tecno, samsung au vivo ambavyo vina ukubwa sawa na cha simu husika katika display size inches?

Mfano simu yangu kioo chake ni Display: 5.7 inches, 720 x 1600

Na kioo cha brand ya samsung nachotaka kuweka kwenye simu yangu ni Display 5.7 inches, 720 x 1560

Jee inafaa?
Connectors zitaingiliana? . Bila shaka unajua kuwa kioo ''kinawasiliana'' na motherboard (mashine ya ndani) kwa kutumia connection. Mimi nachojua ni kuwa kila simu ina connection za aina yake.
 
Connectors zitaingiliana? . Bila shaka unajua kuwa kioo ''kinawasiliana'' na motherboard (mashine ya ndani) kwa kutumia connection. Mimi nachojua ni kuwa kila simu ina connection za aina yake.
Mfano
images%20(4).jpg
images%20(6).jpg
 
Samsung hiyo ina display ya 5.7 na opay hiyo ina display ya 5.7
images%20(5).jpg
images%20(8).jpg
images%20(9).jpg
images%20(10).jpg
 
Back
Top Bottom