Je, naweza kutumia King'amuzi cha DSTV ya Afrika Kusini nchini Tanzania?

Unaweza tumia DSTV decoder ya South Africa na kulipia online kwa bank card.Kikubwa Fundi Dish akufungie kwenye transponder ya DSTV south Africa(kuna transponder ya huku east africa,na ya west and south africa) na decoders zipo programmed kwa kila nchi.kuna jamaa zangu wengi tu wanatumia south africa dstv decoders hapa Tanzania
Fanya connection bro. DM u
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom