Adolph Jr
JF-Expert Member
- Nov 5, 2016
- 5,552
- 8,625
Baada ya kuzaliwa mdogo wangu alionekana ana tatizo la korodani kuto kushuka katika eneo lake (scrotam) na kubakia kwa juu tumboni yaani hazishikiki...,
Tulichelewa kufanya maamuzi ya kumuwahisha kufanya operation (upasuaji) , lakini pindi tulipoamua kwenda hospital madaktari walituambia tumechelewa kumpeleka kwani ilifaa kabla hajafikisha mwaka mmoja hivi sasa anayo 20 ...
Na hivyo wakasema anahitaji upasuaji wa kuziondoa kabisa maana zinaweza develop Cancer ...
Please wataalam mnaweza msaidiaje huyu kijana maana watoto ni muhimu jaman ....kwani wakiisha zitoa ndo hapati kabisa...au kama vipi ziondolewe hizo awekewe mpya.....msaada wajuvi wa mambo haya....
Tulichelewa kufanya maamuzi ya kumuwahisha kufanya operation (upasuaji) , lakini pindi tulipoamua kwenda hospital madaktari walituambia tumechelewa kumpeleka kwani ilifaa kabla hajafikisha mwaka mmoja hivi sasa anayo 20 ...
Na hivyo wakasema anahitaji upasuaji wa kuziondoa kabisa maana zinaweza develop Cancer ...
Please wataalam mnaweza msaidiaje huyu kijana maana watoto ni muhimu jaman ....kwani wakiisha zitoa ndo hapati kabisa...au kama vipi ziondolewe hizo awekewe mpya.....msaada wajuvi wa mambo haya....