Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,599
Habarini wakuu,
Kuna idea ninayo sasa itanilazimu kuanzisha kampuni, nimepanga kwanza ntaiendesha kama kampuni ndogo na nafikiri ntaanza na kama waajiriwa wawili au watatu.
Ila sasa kuna kitu sijakipata vizur, kwenye memart nilitaka nimuweke mchumba wangu tuwe wawili kama shareholders ila sasa nikafikiria kumuongeza na mtoto wangu lakini yeye bado ni mdogo.
So kwa wale waliowahi kuregister kampuni, naweza nikamuweka hata mtoto wangu mana bado ni mdogo. Ama nibaki tu mimi na mchumba wangu?
Asanteni sana
Kuna idea ninayo sasa itanilazimu kuanzisha kampuni, nimepanga kwanza ntaiendesha kama kampuni ndogo na nafikiri ntaanza na kama waajiriwa wawili au watatu.
Ila sasa kuna kitu sijakipata vizur, kwenye memart nilitaka nimuweke mchumba wangu tuwe wawili kama shareholders ila sasa nikafikiria kumuongeza na mtoto wangu lakini yeye bado ni mdogo.
So kwa wale waliowahi kuregister kampuni, naweza nikamuweka hata mtoto wangu mana bado ni mdogo. Ama nibaki tu mimi na mchumba wangu?
Asanteni sana