Nakubal kakaMkuu wewe tafuta tu kazi ya kufanya.
Hauwezi kumkuta mtu huku mtaani ana cheza draft la kamari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba Noeli Ni Tanzania one kwenye hii mbishe?Brooo saiv kuna mchezo wa draft umesajiliwa rasm tz na ksh kuna pambano la ufunguzi kati ya bigwa tz ambae ni noel na ronaldo huko dar kama unajua draft kapambane na hao
aahaha sina dharau brow😂😂😂😂 Duh una dharau knyama yan.
Hakuna weww....kwenye ubingwa wa taifa mwaka 2019 mwezi wa nne ulikuepo kule singida..tuanzie hapo kwanzaNiamini mm bro kiuwezo wa kucheza Drafti nimefikia level ya mwisho kabsa ambayo mchezaji akifikia level hiyo anakuwa hafungiki.
Bingwa wa kitaifa mwenyewe alitoka Arusha.
Kacheze kwanza na aladin alaf ndo ulete mrejeshoAsante saaana kwa ushauri wako, Mi npo Moro na lengo la kuanzisha uzi huu ni vp naweza kujipatia pesa kwenye Drafti kwa njia ya mtandao, Sio kwamba cjui kuwa huko mjini kuna mabingwa walionizd au nliowazd hapan mara nyingi mkicheza mabingwa ktk michezo 10 sare tupu au ktk michezo 20 unakuta goli 1 izo 19 zilizobak saare tupu.
“Lengo langu ni kubadilisha kpaji changu kuwa Fursa”.
BiBingwa wa kitaifa mwenyewe alitoka Arusha.
.wa pili alikua Ronaldo wa dar...wa tatu sijui Nani nae wa dar..wanne kata mwizi wa dodoma
Kwamba Noeli Ni Tanzania one kwenye hii mbishe?
Habari zenu Wadau. Poleni na mihangaiko ya kila siku ya utafutaji riziki
Nimekuja jamviin kuwaomba ushauri Mimi nina uwezo mkubwa sana wa kucheza mchezo wa Drafti. Lengo langu nataka nibadilishe hiki kipaji changu kuwa fursa.
Je, naweza kujiingizia pesa online kwa kucheza mchezo huu online kama ilivyo kwenye mpira maarufu kama (Kubet).
Typing using left Dole Gumba.
View attachment 1403613
Kwa Nini msianzishiane kete mbovu au . Kupunguza kete ili afungwe mtu. Mana 12 kwa 12 watu mmekalili copy.Asante saaana kwa ushauri wako, Mi npo Moro na lengo la kuanzisha uzi huu ni vp naweza kujipatia pesa kwenye Drafti kwa njia ya mtandao, Sio kwamba cjui kuwa huko mjini kuna mabingwa walionizd au nliowazd hapan mara nyingi mkicheza mabingwa ktk michezo 10 sare tupu au ktk michezo 20 unakuta goli 1 izo 19 zilizobak saare tupu.
“Lengo langu ni kubadilisha kpaji changu kuwa Fursa”.
Mzee Godzilla kila siku anawatafuna watu pesaMkuu wewe tafuta tu kazi ya kufanya.
Hauwezi kumkuta mtu huku mtaani ana cheza draft la kamari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zenu wana BUU
Poleni na mihangaiko ya kila siku ya utafutaji riziki
Nmekuja jamvin kuwaomba ushauri Mimi nina uwezo mkubwa sana wa kucheza mchezo wa Drafti. Lengo langu nataka nibadilishe hiki kipaji changu kuwa fursa Je, Naweza kujiingizia pesa online kwa kucheza mchezo huu online kama ilivyo kwenye mpira maarufu kama (Kubet).
Typing using left Dole Gumba.
Wakifwatiwa na wacheza Bao.Hakuna watu wenye tambo kama wacheza drafti
Mi simjui..ila Bingwa wa kwanza alitokea arusha