Je naweza kufanya naye ngono?

mansakankanmusa

JF-Expert Member
Sep 30, 2010
4,163
787
Ni binti alishahitimu masomo yake. Sheria sizijui amenipenda na aliahidi kunipa chochote..sijataka kumjibu vile ndio amemaliza kidato cha sita na sasa anaingia chuo.

Kwa kuwa alizoea kuniomba msada nikampa Mara kwa Mara simnyumi...na sijathubutu anything in return. lakin anataka tena kwa kunijengea mazingira hayo. Nijuavyo bado ni mwanafunz Na ninajua Kama anakusudi hilo iwe baada ya kumaliza masomo take chuo kikuu.

Ana uwezoki chwani...amesoma sayansi...rohoni sina chembe ya kusudio kumla mwanasayansi huyu wa kizaz kijacho....nilipanga Kama atamaliza salama na Kama ni rizki yangu nimtupiw store tena baada ya kuhitum chuo Kikuu.

Nijuavyo waharibifu wapo watamharibu iwapo ataona nampotezea Kama anapata ashki. nyote mnajua vyuo vikuu hawatamla? Kwa hapo alipofika, naruhusiwa! kabla mashabalolo wa chuo wahawamtia mikonon?
 
Labda nijueleze kuwa atakuona wewe si rijali na utashitukia keshagongwa na atagongwa hata vichakani maana keshaonyesha ana nyege. Ukienda ukakuta bikra ipo nidai hela. Ushachelewa wenzako wanalamba
 
MWANAMKE UKIWA UNAMPA MAHITAJI MADOGO MADOGO BASI HUDHANI HUYO NDIYE MWANAUME LAKINI AT THE END ANAKUJA KULIA
 
KWA KUJIBU SWALI LAKO, ALIYEMALIZA KIDATO CHA SITA SIYO MWANAFUNZI TENA NA WALA WALA SIYO MTOTO UNLESS AWE UNDER 18
 
Ni binti alishahitimu masomo yake. Sheria sizijui amenipenda na aliahidi kunipa chochote..sijataka kumjibu vile ndio amemaliza kidato cha sita na sasa anaingia chuo.

Kwa kuwa alizoea kuniomba msada nikampa Mara kwa Mara simnyumi...na sijathubutu anything in return. lakin anataka tena kwa kunijengea mazingira hayo. Nijuavyo bado ni mwanafunz Na ninajua Kama anakusudi hilo iwe baada ya kumaliza masomo take chuo kikuu.

Ana uwezoki chwani...amesoma sayansi...rohoni sina chembe ya kusudio kumla mwanasayansi huyu wa kizaz kijacho....nilipanga Kama atamaliza salama na Kama ni rizki yangu nimtupiw store tena baada ya kuhitum chuo Kikuu.

Nijuavyo waharibifu wapo watamharibu iwapo ataona nampotezea Kama anapata ashki. nyote mnajua vyuo vikuu hawatamla? Kwa hapo alipofika, naruhusiwa! kabla mashabalolo wa chuo wahawamtia mikonon?
We subir embe lidondoke lenyewe halafu wataalam wakuwahi walishushe kwa kutumia mawe.
 
Ni binti alishahitimu masomo yake. Sheria sizijui amenipenda na aliahidi kunipa chochote..sijataka kumjibu vile ndio amemaliza kidato cha sita na sasa anaingia chuo.

Kwa kuwa alizoea kuniomba msada nikampa Mara kwa Mara simnyumi...na sijathubutu anything in return. lakin anataka tena kwa kunijengea mazingira hayo. Nijuavyo bado ni mwanafunz Na ninajua Kama anakusudi hilo iwe baada ya kumaliza masomo take chuo kikuu.

Ana uwezoki chwani...amesoma sayansi...rohoni sina chembe ya kusudio kumla mwanasayansi huyu wa kizaz kijacho....nilipanga Kama atamaliza salama na Kama ni rizki yangu nimtupiw store tena baada ya kuhitum chuo Kikuu.

Nijuavyo waharibifu wapo watamharibu iwapo ataona nampotezea Kama anapata ashki. nyote mnajua vyuo vikuu hawatamla? Kwa hapo alipofika, naruhusiwa! kabla mashabalolo wa chuo wahawamtia mikonon?
Mkuu, bado sijakusoma ..
 
Ni binti alishahitimu masomo yake. Sheria sizijui amenipenda na aliahidi kunipa chochote..sijataka kumjibu vile ndio amemaliza kidato cha sita na sasa anaingia chuo.

Kwa kuwa alizoea kuniomba msada nikampa Mara kwa Mara simnyumi...na sijathubutu anything in return. lakin anataka tena kwa kunijengea mazingira hayo. Nijuavyo bado ni mwanafunz Na ninajua Kama anakusudi hilo iwe baada ya kumaliza masomo take chuo kikuu.

Ana uwezoki chwani...amesoma sayansi...rohoni sina chembe ya kusudio kumla mwanasayansi huyu wa kizaz kijacho....nilipanga Kama atamaliza salama na Kama ni rizki yangu nimtupiw store tena baada ya kuhitum chuo Kikuu.

Nijuavyo waharibifu wapo watamharibu iwapo ataona nampotezea Kama anapata ashki. nyote mnajua vyuo vikuu hawatamla? Kwa hapo alipofika, naruhusiwa! kabla mashabalolo wa chuo wahawamtia mikonon?
Mkuu kwenye maelezo yako hapo mwisho ni kama umejipa majibu mwenyewe
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom