Mr JM
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 266
- 459
Salama wakuu,
Sina ujuvi kabisa ya haya mambo, kutokana na vyuma kukaza nimefikiria kununua pikipiki maarufu bodaboda Toyo, king lion, au boxer kwa ajili ya biashara wastani wa pikipiki 2 au 3 sasa nimefikiria kupata kwa bei ya chini kwa wajuvi naomba mnisaidie naweza kuagiza all the way from China kwa mfumo wa parts yaani nianze kuagiza engine kivyake na parts nyingine kivyake hivi sitasave kweli then nije niassamble mwenyewe,maana naonaga wauzaji wanafungua box wanaunga wenyewe.
Itapendeza nikipata na site nzuri yenye bei chee,importation procedures je TBS watahusika mwisho gharama za kodi.
Je, kutakuwa na unafuu wowote au ninunue pikipiki kamili hapa nchini?
Thanks in advance.
Sina ujuvi kabisa ya haya mambo, kutokana na vyuma kukaza nimefikiria kununua pikipiki maarufu bodaboda Toyo, king lion, au boxer kwa ajili ya biashara wastani wa pikipiki 2 au 3 sasa nimefikiria kupata kwa bei ya chini kwa wajuvi naomba mnisaidie naweza kuagiza all the way from China kwa mfumo wa parts yaani nianze kuagiza engine kivyake na parts nyingine kivyake hivi sitasave kweli then nije niassamble mwenyewe,maana naonaga wauzaji wanafungua box wanaunga wenyewe.
Itapendeza nikipata na site nzuri yenye bei chee,importation procedures je TBS watahusika mwisho gharama za kodi.
Je, kutakuwa na unafuu wowote au ninunue pikipiki kamili hapa nchini?
Thanks in advance.