mazojms
JF-Expert Member
- Sep 22, 2017
- 1,607
- 2,481
A number is just a concept (an abstract idea) used to represent amount.Sawa, sasa jibu swali.
Namba kubwa au ndogo unaipata pale tu unapo elezea amount ya vitu.
A number is just a concept (an abstract idea) used to represent amount.Sawa, sasa jibu swali.
Ni concept pana kidogo inahitaji mjadala wake. ila in nutshell wanasema at singularity inside a black hole, a point which contains a huge mass in an infinitely small space ,where density and gravity become infinite.Naomba ufafanuzi wa connection ya black holes kwenye hii
Ni kweli. Haya jibu swali sasa.A number is just a concept (an abstract idea) used to represent amount.
Namba kubwa au ndogo unaipata pale tu unapo elezea amount ya vitu.
Naomba ufafanuzi wa connection kati ya smartphone na converging infinitiesHata infinity zitatofautiana ukubwa ipo infinity kubwa Na ndogo zingine converging(Zina value) Na zingine diverging....mfano wa converging ni 1+2+3+4+5+6+7+.....∞ =-1/12
Kitu cha kufurahia Ni Kuwa ugunduzi wa Kuwa hata infinity zitatofautiana ukubwa ndo ulisaidia uvumbuzi wa smartphone
(9) + 1 ni kubwa zaidi
In that case, hiyo density na gravity ni finite, ila tu imeshindwa kuwa quantifiedNi concept pana kidogo inahitaji mjadala wake. ila in nutshell wanasema at singularity inside a black hole, a point which contains a huge mass in an infinitely small space ,where density and gravity become infinite.
Tunajua from law of physics kuwa gravity inavyokua kubwa huvuta other bodies toward it, kama kweli at singurality kungekua na infinity gravity, ina maana ingemeza the whole universe ambayo ingekua reverse of big bang. kwahiyo kama icho kitu hakijatokea ina maana at singularity there is no infinity gravity.
Ndo maana nikasema binadamu tunaita kitu infinity pale uwezo wetu wa kufikilia unapogota.
Kumbuka hata universe yenyewe Ni infiniteNi concept pana kidogo inahitaji mjadala wake. ila in nutshell wanasema at singularity inside a black hole, a point which contains a huge mass in an infinitely small space ,where density and gravity become infinite.
Tunajua from law of physics kuwa gravity inavyokua kubwa huvuta other bodies toward it, kama kweli at singurality kungekua na infinity gravity, ina maana ingemeza the whole universe ambayo ingekua reverse of big bang. kwahiyo kama icho kitu hakijatokea ina maana at singularity there is no infinity gravity.
Ndo maana nikasema binadamu tunaita kitu infinity pale uwezo wetu wa kufikilia unapogota.
Kama universe ni infinite, ni kwanini bado ina-expand? Inaexpand kwenda wapi wakati tayari ni infinite? It must be finite, ila the realm to which it is expanding to is infinite.Kumbuka hata universe yenyewe Ni infinite
Ndiyo mkuu, kwahiyo kunaweza kukawa na higher beings ambao kwao ivyo vitu ni minorIn that case, hiyo density na gravity ni finite, ila tu imeshindwa kuwa quantified
Swali gani tena mzee?Ni kweli. Haya jibu swali sasa.
Ni kweli. Soma heading kujua swali, then jibu.Swali gani tena mzee?
No zimewekwa kwa namna ambayo zita weza kuaccomodate amount ya kitu chochote katika ulimwengu. Ulimwengu ambao mwanadamu bado anauona ni kama infinite. (n+1) maana yake ni kwamba there is always a room for new discoveries.
How can u ask for the biggest no akati hata idadi ya nyota ulimwenguni huijui?
Hizo ni concept tu Mkuu, kumbuka our universe ambayo unaiita infinite is a small part of multiverse, infinite cannot be part of infinite. Pitia pitia publication za cosmology utagundua kua infinite is an arbitrary concept.Kumbuka hata universe yenyewe Ni infinite
The biggest no is the no beyond which nothing can be quatified to.Ni kweli. Soma heading kujua swali, then jibu.
Well, (infinity) + 1 ni kubwa kuliko (infinity)The biggest no is the no that nothing can be quatified to.
Kulingana na hiyo dfn yangu uwezekano wa kujua namba kubwa upo and so far the no is infinity sababu hakuna anaejua ukubwa wala idadi halisi ya vitu katika ulimwengu.
Tukiwapanga wanawake wote duniani kisha tuandike idadi ya watoto kwa kila mmoja. Say idadi ya watoto ianze 0 paka 30, no kubwa hapo itakua ipi? Je ni (30+1)?Well, (infinity) + 1 ni kubwa kuliko (infinity)
Sawa, swali si umeshalijibu au?, japo umekosa, maana namba yeyote utakayopata, wewe ongeza moja juu yake, then itakuwa kubwa zaidi.Tukiwapanga wanawake wote duniani kisha tuandike idadi ya watoto kwa kila mmoja. Say idadi ya watoto ianze 0 paka 30, no kubwa hapo itakua ipi? Je ni (30+1)?
Hapo hakuna no kubwa ya watoto zaidi ya 30.
The biggest no is the no beyond which nothing can be quantified to. Je unakubaliana na hii maana?
Niliandika kwamba value (ukubwa au udogo) ya namba inaonekana pale tu inapoonyesha amount ya kitu.
umeanza theories sasa..Hizo ni concept tu Mkuu, kumbuka our universe ambayo unaiita infinite is a small part of multiverse, infinite cannot be part of infinite. Pitia pitia publication za cosmology utagundua kua infinite is an arbitrary concept.
Infinite zinatofautiana ukubwa..kwahyo inaexpand to a bigger infinityKama universe ni infinite, ni kwanini bado ina-expand? Inaexpand kwenda wapi wakati tayari ni infinite? It must be finite, ila the realm to which it is expanding to is infinite.